Msaada wa kusoma

0767854945

Member
Joined
Jul 5, 2013
Posts
74
Reaction score
2
jamani nawaombeni sana nimeomba kusoma afya ya diploma ya clinical officer serikalini sina uhakika kama watanichagua maana ni c ya ph,b ya chem na d ya bios pia b ya math na d ya eng.wasiwasi wangu ni juu ya somo la msingi la bios ambapo nina d,hivyo naombeni msaada wa vyuo vingine vinavyotoa diploma ya CO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…