Msaada wa kutengezeza website

Msaada wa kutengezeza website

Erick_Otieno

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2010
Posts
624
Reaction score
1,023
Wakuu naomba kuelimishwa namna ya kutengeneza website ndogo kwa ajili ya NGO ya michezo. Nitataka ushauri wa kuitengeneza mimi mwenyewe tafadhali
 
Wakuu naomba kuelimishwa namna ya kutengeneza website ndogo kwa ajili ya NGO ya michezo. Nitataka ushauri wa kuitengeneza mimi mwenyewe tafadhali

Msaada wa kwanza ni google. kupitia google unaweza kujua kulingana na knowledge uliyonayo wapi uanzie au nini ufanye. kuna article nyingi sana.

Msaada wa pili ni knowlege uliyonayo kuhusu web techologies. Kulingana na uwelewa ulionao utajua utumie nyenzo gani , program gani , web host gani

  • Unaweza kutumia mtando wa blogspot.com
  • Unaweza kutumia program kama dreamwever
  • Unaweza kuamua kutumia content management system(CMS) z open sourcekama Php Nuke auukatumia propietary software kama za microsoft kama sharepoint
Kwa hiyo ushauri kama unataka kutengenza mwenyewe jifunze kupitia gogle technology mbali mabli zilizopo na nyenzo zinazotumika na ni vipi zinatumika then tengeneza web yako

good Luck.
 
Wakuu naomba kuelimishwa namna ya kutengeneza website ndogo kwa ajili ya NGO ya michezo. Nitataka ushauri wa kuitengeneza mimi mwenyewe tafadhali

Ni uamuzi mzuri , lakini kama huna experience na mambo ya programming sidhani kama unaweza ukafanya kitu lkitakacho leta piocha nzuri kwa NGOO yako. Nakushauri waone wataalamu wa hii fani japo itakugharimu. ila watakupa kitu bomba sana.

Ukitaka kutengeneza website ya kwako at least uwe unaufahamu wa vitu kama HTML/XHTML , javasript, php/jsp/asp etc. Na pia uwe na upeo kidogo wa systems design ili upange mambo yako vizuri.

Kama niliyo eleza hapa juu ni misamiati migumu basi fungua blogspot.com na tengeneza blogyako kama ya michuzi kwisha kazi. lakini hutakuwa mmiliki wa hiyi kitu. siku wakiamua kuitoa huna rights za kuprotest.
 
1. Nunua webhosting(mahali pa kuhifadhi website yako) na domain(jina e.g www.pageyangu.com) kwa website ya kawaida shared hosting itakufaa e.g Web Hosting Services, Reseller Hosting, and Dedicated Servers by HostGator Hakikisha unanunua hosting yenye "fantastico".

2. Utapata instruction za jinsi ya kuingia kwenye control panel yako ukishanunua hosting. Nenda kwenye fantastico, install moja ya CMS(Content management systems) zilizopo humo kama Drupal, Joomla,Mambo etc.

3. Setup hiyo CMS kama unavyotaka, hizi hazihitaji programming, ni kukonfigure tu options na labda kuongeza modules kulingana na requirements zako.

Hivi vitu vyote vina tutorial kibao mtandaoni na video tutorial youtube. ni kiasi cha kusearch tu. Good luck.
 
Wataalam,

asanteni sana kwa ushauri wenu manake na mimi pia nina hamu sana ya kutengeneza website lakini kweli sijui nianzie wapi. Nataka nitengeneze website yangu lakini pia iwe inaweza kutuma email kwa mfano www.website.com halafu niwe na emails zake mhafidhina@website.com

yaani kila siku nakesha nikiwaza lakini hata sijui nianzie wapi na ni fanyeje...! Naombeni msada wenu ndugu zangu...! Msaada kwa step by step kuanzia mwanzo (sina utaalam wowote wa mambo ya website)

Asanteni sana ndugu zangu...!
 
Wataalam,

asanteni sana kwa ushauri wenu manake na mimi pia nina hamu sana ya kutengeneza website lakini kweli sijui nianzie wapi. Nataka nitengeneze website yangu lakini pia iwe inaweza kutuma email kwa mfano Website.com halafu niwe na emails zake mhafidhina@website.com

yaani kila siku nakesha nikiwaza lakini hata sijui nianzie wapi na ni fanyeje...! Naombeni msada wenu ndugu zangu...! Msaada kwa step by step kuanzia mwanzo (sina utaalam wowote wa mambo ya website)

Asanteni sana ndugu zangu...!

Same as above, ukinunua webhosting na domain utaweza kutengeneza email yoyote @website.com
 
Wakuu asanteni sana elimu babu kubwa niliyopata. Je naweza kupata gharama za kutengeneza website yenye page kumi kwa kutumiamtaalam. Information nimeshaziandaa. Najaribu kuangalia option ya budget yangu kama nitaweza kulipa mtaalam.
 
MKubwa unaweza jaribu hapa,fuatilia part zote kuanzia ya kwanza hadi ya mwisho(6) Ukiangalia kwenye Related Videos utaona Part Zote kwa makundi.

Website kwa Wordpress - Part I

Kama utapata utata masi tuwasiliane.
 
Same as above, ukinunua webhosting na domain utaweza kutengeneza email yoyote @website.com

Kang,

Asante sana kwa maelekezo. Je hio web hosting inanunuliwa wapi na inauzwaje? Jamani naomba kuelimishwa tu ndugu zangu manake sijui pa kunazia kabisa.
 
Back
Top Bottom