Unataka tukupe ushauri wa kutumia dawa pasipo na wewe kujuwa una maradhi gani? Nenda kapime hospitali ikiwezekana kapige XRAY ili upate kujuwa unayo maradhi gani kisha uej hapa utuambie unaumw ana amradhi gani tukupe ushauri wetu. Rudi teana kwa huyo Daktari aliye kupa hiyo dawa ya FLUCAMOX kamshitakie kuwa ukitumia hiyo dawa tumbo linapoa dawa ikimalizika nguvu tumbo kuuma linarudi tena ili aweze kukupima vizuri.Uguwa polehabari zenu ndugu jamaa na marafiki.. mimi nasumbuliwa na tumbo kwa muda mrefu sasa linabana sana kwa juu kalibu na maungio ya mbavu ... ninaomba msaada nitumie tiba gani na inaweza kua ugonjwa gani kwasababu kila nikipima naambiwa amiba mala minyoo... kwa mwanzoni kunadaktari mmoja akinishauri niwe nakunywa dawa aina ya FLUCAMOX tumbo likawa linapoa lakini kwa sasa hiyo dawa hainisaidii chochote ... naomba msaada wenu kwa sababu hapa nilipo linanisumbua
shukrani kaka ngoja nifanye utaratibu uohabari zenu ndugu jamaa na marafiki.. mimi nasumbuliwa na tumbo kwa muda mrefu sasa linabana sana kwa juu kalibu na maungio ya mbavu ... ninaomba msaada nitumie tiba gani na inaweza kua ugonjwa gani kwasababu kila nikipima naambiwa amiba mala minyoo... kwa mwanzoni kunadaktari mmoja akinishauri niwe nakunywa dawa aina ya FLUCAMOX tumbo likawa linapoa lakini kwa sasa hiyo dawa hainisaidii chochote ... naomba msaada wenu kwa sababu hapa nilipo linanisumbua
naona ni izo tu sema naona na midomo kama inachanika ndugueleza dallili zingine zaidi