Msaada wa kutibu tumbo linalobana kwa juu

pessa boi

Member
Joined
Jun 3, 2016
Posts
17
Reaction score
4
Habari zenu ndugu jamaa na marafiki..

Mimi nasumbuliwa na tumbo kwa muda mrefu sasa linabana sana kwa juu karibu na maungio ya mbavu ...

Ninaomba msaada nitumie tiba gani na inaweza kuwa ugonjwa gani kwasababu kila nikipima naambiwa amiba mala minyoo...

Kwa mwanzoni kuna daktari mmoja alinishauri niwe nakunywa dawa aina ya FLUCAMOX tumbo likawa linapoa lakini kwa sasa hiyo dawa hainisaidii chochote ...

Naomba msaada wenu kwa sababu hapa nilipo linanisumbua sana.
 
Unataka tukupe ushauri wa kutumia dawa pasipo na wewe kujuwa una maradhi gani? Nenda kapime hospitali ikiwezekana kapige XRAY ili upate kujuwa unayo maradhi gani kisha uej hapa utuambie unaumw ana amradhi gani tukupe ushauri wetu. Rudi teana kwa huyo Daktari aliye kupa hiyo dawa ya FLUCAMOX kamshitakie kuwa ukitumia hiyo dawa tumbo linapoa dawa ikimalizika nguvu tumbo kuuma linarudi tena ili aweze kukupima vizuri.Uguwa pole
 
shukrani kaka ngoja nifanye utaratibu uo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…