B brazuka Senior Member Joined May 30, 2014 Posts 159 Reaction score 255 Jun 9, 2014 #1 Wakuu msaada, zile nyuzi absorbable zinapotea baada ya mda gani tangu kushonewa kwenye kidonda?
Angel Nylon JF-Expert Member Joined Jul 26, 2011 Posts 9,164 Reaction score 18,402 Jun 9, 2014 #2 brazuka said: wakuu msaada zile nyuzi absorbable zinapotea baada ya mda gan tangu kushonewa kwenye kidonda.! Click to expand... Kuanzia wiki 1 na zaidi
brazuka said: wakuu msaada zile nyuzi absorbable zinapotea baada ya mda gan tangu kushonewa kwenye kidonda.! Click to expand... Kuanzia wiki 1 na zaidi
papason JF-Expert Member Joined Sep 14, 2010 Posts 5,119 Reaction score 5,698 Jun 9, 2014 #3 Vile vile mwenye kujua faida na madhara yake atujuze!