MSAADA WA KUUNGANISHWA NA NDUGU WA PRISCUS ALOYSE MATEI (R.I.P).

BABA LEA WATOTO

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2017
Posts
352
Reaction score
782
Habari wanajamii forums!
Naomba MSAADA Kwa yeyote atakayekuwa anajua ndugu yeyote WA PRISCUS ALOYSE MATEI ambaye Kwa sasa ni marehemu, kabisa mchanga wa Moshi, alifariki 2013 kama sikosei. Nia na dhumuni ni kutaka kuwaunganisha hao ndugu na damu ya ndugu yao aliyoiacha mahali. Asante.
 
Ongeza nyama kidogo mtumish

Ili ueleweke unazungumzia nini
 
Ongeza nyama kidogo mtumish

Ili ueleweke unazungumzia nini
Marehemu Aliacha Damu Kwa Hiyo Jamaa Anahitaji Ndugu Wa Marehemu Ili Aweze Waonyesha Damu Ya Ndugu Yao(Mtoto Wa Marehemu Priscus).
 
Huyu alikuwa anafanya shughuli gani? Kuna mmoja alikuwa fundi wa photocopy alafu baadae akaanza biashara ya mbao Liwale je ndio huyu?
 
Huyu alikuwa anafanya shughuli gani? Kuna mmoja alikuwa fundi wa photocopy alafu baadae akaanza biashara ya mbao Liwale je ndio huyu?
Kuna mambo yanafanya niwe na limited info. Mkuu, ila alikuwa ni fundi nyumba, mara ya kwanza kujua habari zake alikuja mbeya kulikuwa na ujenzi WA ghorofa la mfanyabiashara WA mbeya Anaitwa Kasisi.
 
Kuna mambo yanafanya niwe na limited info. Mkuu, ila alikuwa ni fundi nyumba, mara ya kwanza kujua habari zake alikuja mbeya kulikuwa na ujenzi WA ghorofa la mfanyabiashara WA mbeya Anaitwa Kasisi.
Ninaye mfaham mm sio huyo unaemsema. Yeye alikuwa fundi photocopy na printer mm alikuwa fundi wangu mkubwa hadi umauti unampata
 
Kama ungekuwa napicha ingesaidia maneno tu nikama kuziba maskio na kunyampa eti uskie mvumo wake. Utaambulia harufu tu
 
Umesema Priscus matei mshanga?
Sorry mkuu taarifa za awali nilizonaso naishia hilo Jina la MATEI, niliambiwa ana kaka yake Anaitwa Priscas Matei dada zake ni Monica MATEI, Pendo na Geno MATEI!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…