Msaada wa kuzaa mtoto mwenye akili

korino

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2011
Posts
1,004
Reaction score
666
Habari zenu!

Nna ujauzito wa miez 6 sasa, je ni dawa gan ambayo naweza kutumia ili niweze pata mtoto mwenye ufaham mzuri?

Gata akiwa class awe dizaini za wale watu mwalimu akifundisha awe anamuelewa haraka na kuweza kufaulu vizuri.
 
Hongera korino, unataka kula wewe akili apate mtoto??

Niliwahi kusikia mtoto akizaliwa muda ule unatakiwa umnyonyeshe yale maji maji ambayo hayajakua maziwa safi, wanasema ni nzuri...
 
Last edited by a moderator:
Reactions: awp
kula samaki na.maziwa kwa wingi bila kusahau mboga za majani.
ila kabla hujawaza.hilo.fikiria kwanza je! wewe una IQ kubwa? babake je?
maana atapata kwako na kwa babake.kama nyie ni slow usitegemee IQ yake itakua fasta..hongera kwa kukaribia kuwa mama...
 

Asante ameline!
 
Hongera korino, unataka kula wewe akili apate mtoto??

Niliwahi kusikia mtoto akizaliwa muda ule unatakiwa umnyonyeshe yale maji maji ambayo hayajakua maziwa safi, wanasema ni nzuri...

Haya inshaallh ntajitahd nimnyonyeshe
 
Last edited by a moderator:
penda sana kusoma soma vitabu kipindi hiki inasaidia
 
.....ukishazaaa uende ukamtambikie mizimu ya kwao....
atakuwa kipanga kama albert eisnstein
 
ameline umeongea jambo la maana sana, kula like 100
 
Last edited by a moderator:
Epuka vinywaji vyenye kaffeina, fanya mazoezi ya kutembeatembea, epuka vilevi
 


Ila pawe na mkono wa Mungu pia....

Maziwa fresh au mtindi
 
Pia wanashauri ungewahi kula mlo kamili mapema kwenye ile miezi mitatu ya mwanzo wakati ubongo na vitu vingine vikiumbwa....ila ndo kipindi wengine hata chakula hakiliki
Mwombe sana Muumba atakupa unachohitaji

Kila la kheri
 
Pia wanashauri ungewahi kula mlo kamili mapema kwenye ile miezi mitatu ya mwanzo wakati ubongo na vitu vingine vikiumbwa....ila ndo kipindi wengine hata chakula hakiliki
Mwombe sana Muumba atakupa unachohitaji

Kila la kheri
 
Habari zenu! Nna ujauzito wa miez 6 sasa..je ni dawa gan ambayo naweza kutumia ili niweze pata mtoto mwenye ufaham mzuri? Gata akiwa class awe dizain za wale watu mwl.akifundisha awe anamuelewa haraka na kuweza kufaulu vizuri..

maombi tu dadaangu, sari sana kwa imani yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…