Msaada wa kuzaa mtoto mwenye akili

God who created your infant can always go back to a drawing board and edit something. And the only way you can take Him back to a drawing board to add intelligence to your infant is through prayers...
 
balanced diet,na badae mtoto akianza shule uwe unamfundishA na kumkagua vitu anavosoma shule on a daily basis,pia uwe.mwanamaombi sana...lazma atafaulu tuu,my mama was like that wen we were young,and school went quite smooth
 
Tafuta ubongo wa Newton, uchanganye na wa Galileo Galilei, na wa Aristotle, na Charles Darwin, uchanganye na maziwa ya Marie Curie, kutwa mara tatu mpaka unajifungua, utazaa super genious.
 
Habari zenu!

Nna ujauzito wa miez 6 sasa, je ni dawa gan ambayo naweza kutumia ili niweze pata mtoto mwenye ufaham mzuri?

Gata akiwa class awe dizaini za wale watu mwalimu akifundisha awe anamuelewa haraka na kuweza kufaulu vizuri.

naoana ka vile anakuja mbongo fleva!!!????,eyoh yeah yeah nyingi tu za kutosha
 
Mlo kamili (Balanced diet) unaweza saidia dogo asiwe na mtindio wa ubongo/uzezeta lakini issue ya yeye kuwa kipanga inategemea nyie wazazi wake.

Je nyie ni vipanga?

Suala la mjamzito kusomasoma vitu wala halisaidii,hizo ni story za vijiweni tu maana Kuna watu wamezaliwa na illiterate mothers na ni vipanga ajabu.
 
Swala la mtoto kuwa na akili mimi nadhani pia mazingira atakayokulia yatamchangia sana ila kumuomba Allah ndio kubwa kwani yeye ndiye mwaamuzi wa kupanga akupe mtoto wa aina gani kama profesa au jambazi
 
Jamani wadau nami pia nauliza ulaji wa mlonge na matumizi ya juisi ya ukwaju wakati wa ujauzito je havina madhara?
 
Jamani wadau nami pia nauliza ulaji wa mlonge na matumizi ya juisi ya ukwaju wakati wa ujauzito je havina madhara?

mlonge sifahamu ni nini ila juice ya ukwaju no nzuri sana kwa wajawazito kwani ina calcium nying sana itakayomfaa mtoto.hata mm nilitumia sana ndo yalikua maji yangu nlikua nakunywa lit 3 kila siku naweka kwenye chupa za maji zile kubwa za.lit 1.5 mbili naenda nazo kazini mpaka jion imeisha.pia juice ya ubuyu ni nzuri kwa wajawazito.
Angalizo: hakikisha unachemsha mpaka ichemke wakat wa kuiandaa ili kuua vijidudu vyote.
 
My dia barikiwa wewe naipenda ila nilikuwa nakunywa huku nasitasita sasa nafikiri nitakua na amani ingawa nilikuwa naikoroga tu na maji ya moto nilikuwa sichemshi sasa nitakuwa nachemsha ila. mlonge pia ninao ila nimeogopa kuutumia sijajua kama hauna madhara najaribu ku- find out bado sijapata jibu la uhakika.

Tatizo moja la ukwaju mahudhurio yanakuwa mengi.

Halafu kibaya changu nakaribia kumaliza 1st trimester sina hamu ya kula so natengeneza vitu vya kuniongezea apetite nikianza kula kama ni nyama nashitukia namaliza kilo, kama ni kuku najishitukia nakaribia kummaliza mzima yaani mpaka naona soo.
 

mahudhurio ndo mazuri.ma dia ili kuepusha maambukizi ya kibofu kwa wakat huo ulio nao.tena ujitahid ukojoe mara kwa mara. Nakutakia kila la heri Mungu akulinde
 
Unachotakiwa ni kula vyakula vyakula vinavyoweza kumjenga mtoto tumboni kabla hajazaliwa
(epuka kula mayai, chai, kahawa, pombe, kuvuta sigara,), pia hakikisha unapata muda wa kupumzika usiwe na mawazo.
Mara baada ya kujifungua hakikisha mtoto ananyonya maziwa halisi ya mama, na kadiri anavyoendelea kukua hakikisha anapata mlo safi ili asiumwe(kuumwa kunachangia kuchelewa kukua), kitaalam tunaambiwa ubongo mtoto unaanza unakomaa akiwa na kuanzia miaka 5, hvyo kwa umri wa uchanga ndio mda wa kuujenga ubongo
 
Habari zenu!

Nna ujauzito wa miez 6 sasa, je ni dawa gan ambayo naweza kutumia ili niweze pata mtoto mwenye ufaham mzuri?

Gata akiwa class awe dizaini za wale watu mwalimu akifundisha awe anamuelewa haraka na kuweza kufaulu vizuri.

Unadhani watoto wanarithi sura tu? Wanarithi na akili! Mwanao atarithi akili zako au za mumeo!..kwa sasa ilee vyema tu hiyo mimba ili ujifungue salama hilo ndo la msingi kwa sasa
 
Kama baba mtoto ulimpendea pesa ama sura, majuto ya kijukuu yanakuhusu
 
Ndugu nielezee vizuri hapo kwenye mayai, maana nijuavyo mayai mabichi au yasioiva vizuri ndio shida sasa mayai yaliyoiva vizuri yana shida gani.
 
Inategemea na mwanamke uliyezaa naye kama ni kilaza basi kuna uwezekano mkubwa wa kuwa kilaza
 
Tafuta ubongo wa Newton, uchanganye na wa Galileo Galilei, na wa Aristotle, na Charles Darwin, uchanganye na maziwa ya Marie Curie, kutwa mara tatu mpaka unajifungua, utazaa super genious.

hahaaaaaaaaaa.....!!!
 
Mpeleke Msoga atakua kipanga kama JK, atapata PhD za kumwaga kumzidi, ataruka angani hadi Mars!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…