Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Msaada, kuna mambo matatu naomba nisaidiwe;
1) Fuel Pump ikiharibika ni dalili gani unaweza kuziona kwenye gari?
2) Side mirrors zikigoma kujikunja yaan kuzifunga je inaweza kusababishwa na nn?
3) Radio ya Gari imegoma kuwaka, tatizo ni nn??
1) Fuel Pump ikiharibika ni dalili gani unaweza kuziona kwenye gari?
2) Side mirrors zikigoma kujikunja yaan kuzifunga je inaweza kusababishwa na nn?
3) Radio ya Gari imegoma kuwaka, tatizo ni nn??