1. Engine kugoma kuwaka au kukosa nguvu hasa kama unapanda mwinuko au una mzigo mkubwa ndani ya gari.
2. Inaweza kusababishwa na Misalignment, mfumo wa umeme wa side mirrors
3. Kwanza cheki kama umeme unafika kwenye Radio, kama ndio, anzia kwenye fuse ya radio kuzama ndani, nenda mpaka kwenye switch ya radio, ukifanya kwa Elimination Method, utajua tatizo ni nini!