tony montana
Senior Member
- Oct 16, 2014
- 142
- 38
Masharti ya mkopo yalisemaje? Kama uliachishwa kwa makosa yako na utovu wa nidhamu wa nidham kwa nini usilipishwe?
Nadhani kila situation itategemea na mazingira yake.
Niko hapa nami naweza pata madini nami ni muhanga