Dannis
JF-Expert Member
- Jan 21, 2016
- 1,603
- 1,702
Habari za j'pili wakuu,
Kabla ya yote napenda kumshukuru mwenyezi MUNGU kwa tuniweka hai mpaka siku ya leo.
Naomba kwa yeyote anayejua gharama za kupata laini za uwakala [Tigo pesa na M-pesa] anisaidia ni vitu gani vinatakiwa ili kupata hizo laini, gharama kuanzia mwanzo mpaka nazipata, na natakiwa kusubiri kwa muda gani?
Kabla ya yote napenda kumshukuru mwenyezi MUNGU kwa tuniweka hai mpaka siku ya leo.
Naomba kwa yeyote anayejua gharama za kupata laini za uwakala [Tigo pesa na M-pesa] anisaidia ni vitu gani vinatakiwa ili kupata hizo laini, gharama kuanzia mwanzo mpaka nazipata, na natakiwa kusubiri kwa muda gani?