Msaada wa laini ya M-PESA & TIGO PESA

Msaada wa laini ya M-PESA & TIGO PESA

Dannis

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2016
Posts
1,603
Reaction score
1,702
Habari za j'pili wakuu,

Kabla ya yote napenda kumshukuru mwenyezi MUNGU kwa tuniweka hai mpaka siku ya leo.

Naomba kwa yeyote anayejua gharama za kupata laini za uwakala [Tigo pesa na M-pesa] anisaidia ni vitu gani vinatakiwa ili kupata hizo laini, gharama kuanzia mwanzo mpaka nazipata, na natakiwa kusubiri kwa muda gani?
 
Laini ya uwakala yoyote ile Ni Bure.. Ukiombwa hela nenda kwa Meneja.


Vitu vinavyohitajika;

1. Leseni Ya Biashara (Namna ya Kuipata Chukua TIN Number na mkataba wa Pango na Barua ya Utambulisho halafu peleka idara ya biashara halmshauri ulipo)


2. Kitambulisho Chako

3. Barua ya Utambulisho Kutoka serikali ya mtaa

4. TIN namba (Inapatikana TRA Bureeeee)
 
Laini ya uwakala yoyote ile Ni Bure.. Ukiombwa hela nenda kwa Meneja.


Vitu vinavyohitajika;

1. Leseni Ya Biashara (Namna ya Kuipata Chukua TIN Number na mkataba wa Pango na Barua ya Utambulisho halafu peleka idara ya biashara halmshauri ulipo)


2. Kitambulisho Chako

3. Barua ya Utambulisho Kutoka serikali ya mtaa

4. TIN namba (Inapatikana TRA Bureeeee)
Aisee kumbe ni hivyo, shukrani sana kiongozi
 
Back
Top Bottom