American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 673
- 974
Mimi ni Mtanzania nahitaji kibali kidogo cha uchimbaji madini ya dhahabu, nipo dar es salam ila naenda kuchimbia mahenge Morogoro so naombeni kupata mwongozo kibali hicho kinacost tsh ngapi hapa Dsm na eneo ambalo naenda kukikata.