Msaada wa Link/web

kindafu

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
1,346
Reaction score
1,678
Nawasalimu wanajamvi!
Naomba msaada wa yeyote aliye na link itakayoniwezesha kupata "Updated Infos" za:

i. Idadi ya madaktari Tanzania na uwiano wa wagonjwa kwa kila daktari
ii. Kama kuna unyumbulisho wa idadi hiyo na uwiano huo ki-mkoa na ki-wilaya
iii.Idadi ya wauguzi na uwiano wao kwa wagonjwa
iv. Idadi ya "Trained Social Workers" na jinsi soko lao la Ajira lilivyo Tanzania.

Natanguliza shukrani za dhati!
 
i. Idadi ya madaktari Tanzania na uwiano wa wagonjwa kwa kila daktari

hospitali ya mkoa mwanza ni 1:150 per day hii ni mwaka 2007
MD😛atients ni 1:25,000 nayo ni mwaka 2008 (mwanza)
 
kama umeserch google hajuona...pole sana!
 
kama umeserch google hajuona...pole sana!

Pole tu hainisaidii ndugu yangu! Nimejaribu ku-google "www.tanzania.go.tz" na kujaribu kupitia wizara mbali mbali sikupata ndo maana nkaomba msaada!
 
hospitali ya mkoa mwanza ni 1:150 per day hii ni mwaka 2007
MD😛atients ni 1:25,000 nayo ni mwaka 2008 (mwanza)

Asante sana mkuu! Ungaliweza kunipatia "source" ya hizo data pengine ingaliniwezesha kupata na za mikoa mingine kama sio taifa kijumla!
 
Asante sana mkuu! Ungaliweza kunipatia "source" ya hizo data pengine ingaliniwezesha kupata na za mikoa mingine kama sio taifa kijumla!

Hizo data nilizipata kipindi nafanya kazi USAID, data zinatofautiana sana kutokana na maeneo, kwahiyo ukifanya hii kitu kitaifa variation ni kubwa sana and there is no reality. Well, unajua govt huwa inaficha ukweli kukwepa aibu lakini ukienda mwenyewe mahospitalini utapata hali halisi ya hizi ratio. baadhi ya links hizo hapo chini

kcmc wanasema: The doctor : patient ratio in Tanzania is 1 : 26,000, whereas the recommended rate is 1 : 7,500. link Kilimanjaro Christian Medical Centre

bugando wanasema: Tanzania has 1 physician per 50,000 patients, the lowest ratio of physicians to patients in the world. link Weill Cornell Bugando Program - Global Health | Weill Cornell Medical College

harvard wanasema: In Tanzania, the ratio is upwards of 1 to 50,000. [wanakubaliana na bugando] link Wanted: Doctors for Africa | Harvard Gazette

Nadhani utakuwa umepata mwanga sasa hivi
 
wakati mwingine ndugu hiz data hawaziweke kwenye mtandao kwa sababu mahalumu,, chache sana zinakuwa ni sample data and not real what is underground...hali ni mbaya kwan specialist weng wako njee, thats why nikwa kwmbia ukikosa google jua hakuna,labda ufanya survial kila hosptal ya rufaa na nyingine kaka.
 

Big up sana mkuu! Nashukuru sana sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…