Ntakufanyia kwa bei ya kiungwana 100,000/= nicheck 0715168802 nikuoneshe samplesSalamu wakuu,
Najikongoja kuamka baada ya kupata anguko na ajali pia,nimeregister jina la baishara BRELA (wazawa general supplies limited)
Naomba msaada kwa mdau yoyote kunisaidia kutengeneza logo wakuu. WhatsApp number 0742666736 kwa mawasialiano zaidi.
Shukrani sana,Mungu awabariki!
Ntakufanyia kwa bei ya kiungwana 100,000/= nicheck 0715168802 nikuoneshe samples
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Nikupe pole.. habari mbaya ambayo hutopenda kuisikia ni kwamba unaweza kupata logo pale kariakoo hata kwa elf20 lkn baada ya mwaka utajutia kuingia gharama kubwa zaidi kufanya rebranding..Shukrani,Ila bahati mbaya siwezi kumeet offer yako!!
Uko sahihi kabisa, lakini the sad part of it kesho na kesho kutwa anaweza kukutana na logo kama yake kwenye same industry, akichimba zaidi anakuja kugundua ni hawa amacha designers ambao hawaumizi kichwa kuweza kuifanya logo izungumze kwa niaba yake kwa wateja wake..Tafuta vijana wa street au kkoo, hata 50k wanakutengenezea..
Ukifuata hawa corporate na biashara kama inaanza, wakikuhurumia ni 100k - 150k
Ni kweli Ila kuna watu wengi tu wanatengeneza logo na brand guideline nzima kwa 150k Ila logo peke yake ni 50kUko sahihi kabisa, lakini the sad part of it kesho na kesho kutwa anaweza kukutana na logo kama yake kwenye same industry, akichimba zaidi anakuja kugundua ni hawa amacha designers ambao hawaumizi kichwa kuweza kuifanya logo izungumze kwa niaba yake kwa wateja wake..
Logo pekee haiuzi bidhaa bali ile branding package utakayoipata inaweza kuipeleka bidhaa yako mbali na ikasustain kwenye soko kwa miaka mingi..
Hao madesigner wa kariakoo wanaingia tuu gugo wanasearch wanacopy na kupaste wamemaliza.. kama ndicho anachokitaka, basi ni rahisi sana hata yeye mwenyewe anaweza kufanya akiwa tu na Adobe illustrator.
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Nilikutana na mtu karume pale nikampa idea yangu akaifanyia kazi na sample 3 za ziadaNi kweli Ila kuna watu wengi tu wanatengeneza logo na brand guideline nzima kwa 150k Ila logo peke yake ni 50k
Ila kwa wale ambao wanafanya hizi kazi na makampuni, huwa wanazifanyia startups 100k - 150k
Point kubwa uliyoitoa ni kuwa asiingie mjini kichwa kichwa maana mtu anaweza copy mtandaoni au akaingia kwenye apps na kumtengenezea kitu kisicho bora
Ila bado kuna watu nawajua wanafanya kazi vizuri
Salamu wakuu,
Najikongoja kuamka baada ya kupata anguko na ajali pia,nimeregister jina la baishara BRELA (wazawa general supplies limited).
Naomba msaada kwa mdau yoyote kunisaidia kutengeneza logo wakuu. WhatsApp number 0742666736 kwa mawasialiano zaidi.
Shukrani sana, Mungu awabariki!