rational adj 1 razini, -a kirazini. 2
-enye kuweza kufikiri kirazini. 3 -a kimantiki. 4 (maths) -a uwiano ~ expression uonyesho wiano. ~ number n namba wiano. ~ly adv. ~ity n taamuli, busara, mantiki. ~e n urazini, sababu ya msingi. ~ism n falsafa mantiki. ~ist n mrazini. ~istic adj. ~ize vt 1 tazama jambo kimantiki, razini(sha). ~ize ones's fears/behaviour jipa moyo. 2 (of industry etc) panga upya (ili kuzuia ufujaji mali au kuepuka mambo). ~ization n.