Msaada wa mabati na bei zake

Msaada wa mabati na bei zake

Mech engineer

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2017
Posts
354
Reaction score
472
Habarini wakuu, nauliza bei ya mabati ya msouth kwa bei ya kiwandani.

Kama bei itaambatana na grade number itapendeza zaidi. Pia kwa anayefahamu yanakopatikana kwa hapa Mwanza (nasikia kuna kiwanda cha mabati japo sina uhakika).

Natanguliza shukrani
 
Habarini wakuu, nauliza bei ya mabati ya msouth kwa bei ya kiwandani.

Kama bei itaambatana na grade number itapendeza zaidi. Pia kwa anayefahamu yanakopatikana kwa hapa Mwanza (nasikia kuna kiwanda cha mabati japo sina uhakika).

Natanguliza shukrani
Rejea uzi wangu " Elimu kuhusu mabati"
 
G32-17,500/-Mabati ya Msouth Migongo Midogo.FT 10
G30-22,500/-Mabat ya Msouth Migongo Mipana.FT 10
G28-29,000/-Mabat ya Msouth Migongo Mipana.FT 10
G28-35,000/-Mabat ya Msouth Bati za Vigae.FT 10

Simu 0756570873 or 0628700339, 0718550100
 
G32-17,500/-Mabati ya Msouth Migongo Midogo.FT 10
G30-22,500/-Mabat ya Msouth Migongo Mipana.FT 10
G28-29,000/-Mabat ya Msouth Migongo Mipana.FT 10
G28-35,000/-Mabat ya Msouth Bati za Vigae.FT 10

Simu 0756570873 or 0628700339, 0718550100
Ungetuma na picha zake Ingekuwa msaada kwa wadau,kwa vile si wote wako familiar na hizo 'technical terms'
 
Back
Top Bottom