N nictbb Senior Member Joined May 18, 2012 Posts 119 Reaction score 9 Jun 29, 2013 #1 Wataalam,ni njia tiba ipi mbadala itanisaidia maana nataka macho yangu yawe meupe,maana yana rangi la brown,ila sina tatizo lolote la macho,nataka tu yawe meupe wandugu,au kuna athari zozote za kufanya hivyo
Wataalam,ni njia tiba ipi mbadala itanisaidia maana nataka macho yangu yawe meupe,maana yana rangi la brown,ila sina tatizo lolote la macho,nataka tu yawe meupe wandugu,au kuna athari zozote za kufanya hivyo