Msaada wa maduka ya jumla ya nguo za wanawake kwa dsm

Msaada wa maduka ya jumla ya nguo za wanawake kwa dsm

Fungo N.

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
252
Reaction score
43
Wana jf nipo chalinze najajishughulisha na uuzaji wa nguo za wanawake kama vile kanga vitenge vikoi madila,wax nk,.Naomba Mwenye Kufahamu Maduka Ya Jumla Ya Hz Nguo,maana Nimekuwa Nikichukulia Kariakoo Na Kitumbini Lakini Naona Hainilipi Kabisaa.Kwa Mawasiliano Zaid 0683081550
 
kariakoo nami najua ndio machimbo ya bidhaa hizo, labda uvuke boda!
 
Back
Top Bottom