Super Charged
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 947
- 1,710
Nimejaribu Kikuu, Mwanzani Sikuamin Kikuu Niliona kama Matapeli Kumbu Fikra Zangu hazikuwa sahihi.
Sasa Nimesikia Kuhusu Ubuy kwa maana kuna Product haziko Kikuu ziko Ubuy na nimezipenda. Naombeni Maelezo Wakuu Kuhusu Ubuy
1. Je, ni legit Platform?
2. Mzigo unafika kwa wakati
3. Wanatumia njia gani za kudelive Mzigo, je Njia zao zinafanana na za Kikuu
4. Ni Salama kununua Product kutumia Ubuy
Sasa Nimesikia Kuhusu Ubuy kwa maana kuna Product haziko Kikuu ziko Ubuy na nimezipenda. Naombeni Maelezo Wakuu Kuhusu Ubuy
1. Je, ni legit Platform?
2. Mzigo unafika kwa wakati
3. Wanatumia njia gani za kudelive Mzigo, je Njia zao zinafanana na za Kikuu
4. Ni Salama kununua Product kutumia Ubuy