yundu misanga
Member
- Apr 9, 2015
- 8
- 0
Habari wanna jf
Naomba msaada kwa anaejua ivi vigezo vya kujiunga na chuo cha ualimu Ngazi ya cheti ama diploma vipi? Maana kuan Chuo cha ualimu singida kinatangaza kwenye radio Maria wanatoa kozi ya ualimu kwa level ya diploma kwa miaka mitatu vigezo awe Form four kuanzia division f our yenye D' nne na kuendelea. Naomba msaada mwenye kuj ua
Naomba msaada kwa anaejua ivi vigezo vya kujiunga na chuo cha ualimu Ngazi ya cheti ama diploma vipi? Maana kuan Chuo cha ualimu singida kinatangaza kwenye radio Maria wanatoa kozi ya ualimu kwa level ya diploma kwa miaka mitatu vigezo awe Form four kuanzia division f our yenye D' nne na kuendelea. Naomba msaada mwenye kuj ua