MSAADA WA MAFUNZO YA UAMUZI (refaree)

Abbyarico

Member
Joined
Aug 5, 2021
Posts
50
Reaction score
43
Habari za kutwa ndungu zangu

Mimi ni kijana mwenzenu mwenye nia thabiti ya kuweza kukuza mpira wa Tanzania kwa kuwa mchezaji namba 13 yaani namaanisha mwamuzi(refaree) lakini changamoto ni moja ninayo ipata sijajua ni wapi pa kuanzia na sijajua ni vitu gani muhimu vya kuzingatia

Please kwa yeyote mwenye muongozo na hili naomba aweze kunijuza ili niweze kufikia marengo yangu kimichezo

Ahsanteni sana na karibuni kwa maoni
Nawapendani nyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…