Msaada wa majina ya walioomba nafasi ya kusoma kada mbalimbali wizara ya afya 2013\2014

0767854945

Member
Joined
Jul 5, 2013
Posts
74
Reaction score
2
Ndugu zangu kwa anayejua ni lini wizara itatoa majina hayo kwani watu tunahamu kujua matokeo mapema ili kama tumepata tujiandaye au kama tumekosa tubadili mipango mapema kabla muda haujaenda asanteni naombeni msaada wenu waungwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…