Msaada wa maneno haya,rajisi,muamala ,mrabaha na gombo

Msaada wa maneno haya,rajisi,muamala ,mrabaha na gombo

Mpigamsuli

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2012
Posts
3,885
Reaction score
582
wana jf ninaomba mnipe tafsiri ya maneno ,rajisi,muamala,gombo,mrabaha ,msaada tafadhali,by.mpigamsulioriginal
 
tafuta dictionary mkuu hasa ya kiswahil kwani naona uko vizuri
 
harakat,ndg yangu mm npo village cna dictionary wala nin,
 
nasubirkwa hamu majibu maana wataalam wa kiswahili wana mambo sana hasa walipo nambia laptop ni dadavuzi mpakato sijui hapa watakuja na lipi
 
wana jf ninaomba mnipe tafsiri ya maneno


  • rajisi
  • muamala
  • gombo
  • mrabaha

msaada tafadhali,by.mpigamsulioriginal

mpigamsuli

MRAHABA:

1. mrabaha
= 1. royalty.

2. mrabaha = 2. proceeds, returns, profit.


GOMBO:

1. gombo
= 1. sheet, leaf of a book.

2. gombo =
2. (hutumika sana Mwambao wa Afrika ya Mashariki) offering ceremony.

3. gombo
.a = 3. redeem: Ali aligomboa redio yake he redeemed his radio.

Maneno yanayoendana na hiyo namba 3 ni gombolea, (tdew) gombolewa; (tdk)gomboka; (tdn) gomboana; (tds) gombosha.

MUAMALA

1. muamala = 1. one's good relations with others.

2. muamala = 2. business relations.


N.B:

Kuna neno muamala ambalo pia linatumiwa na Kampuni za simu ... kama M-Pesa au Tigo ... huwa wanasema Muamala umekubaliwa au hautoshi ... nafikiri unafahamu.

RAJISI:

Rajisi = Sajili

Kisawe (neno linalofanana katika matumizi) cha kusajili ni kurajisi. Neno rajisi halitumiki sana lakini neno sanifu na linakubalika kutumika.

Tanapata mrajisi/msajili katika wizara, mashirika na kampuni.

Nafikiri mkuu mpigamsuli pia na Gwankaja Gwakilingo umenipata hapo!
 
mpigamsuli

MRAHABA:

1. mrabaha
= 1. royalty.

2. mrabaha = 2. proceeds, returns, profit.


GOMBO:

1. gombo
= 1. sheet, leaf of a book.

2. gombo =
2. (hutumika sana Mwambao wa Afrika ya Mashariki) offering ceremony.

3. gombo
.a = 3. redeem: Ali aligomboa redio yake he redeemed his radio.

Maneno yanayoendana na hiyo namba 3 ni gombolea, (tdew) gombolewa; (tdk)gomboka; (tdn) gomboana; (tds) gombosha.

MUAMALA

1. muamala = 1. one's good relations with others.

2. muamala = 2. business relations.


N.B:

Kuna neno muamala ambalo pia linatumiwa na Kampuni za simu ... kama M-Pesa au Tigo ... huwa wanasema Muamala umekubaliwa au hautoshi ... nafikiri unafahamu.

RAJISI:

Rajisi = Sajili

Kisawe (neno linalofanana katika matumizi) cha kusajili ni kurajisi. Neno rajisi halitumiki sana lakini neno sanifu na linakubalika kutumika.

Tanapata mrajisi/msajili katika wizara, mashirika na kampuni.

Nafikiri mkuu mpigamsuli pia na Gwankaja Gwakilingo umenipata hapo!

Muamala = Transaction
 
Back
Top Bottom