MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,057
- 39,387
Habari za asubuhi wana JF,
Nimekuja humu nina shida ndogo maana penye wengi pana mengi nimehamia nyumba fulani hapa jijini wenye nyumba ni wahaya hawa watu wakiniona nimerudi wao ni kihaya tu hili tatizo kwangu naliita tatizo kwani lilianza baada ya kuzozana nao.
Sasa nataka wajue kwamba najua kihaya ila kiukweli sikijui labda hamtanielewa trick ni hivi nitafake kupiga simu kwa dk hata mbili huku nikiongea kihaya wakinisikia watafikiria najua kihaya hivyo ni mambo ya saikolojia.
Nb: Mpangaji nipo peke yangu
Nimekuja humu nina shida ndogo maana penye wengi pana mengi nimehamia nyumba fulani hapa jijini wenye nyumba ni wahaya hawa watu wakiniona nimerudi wao ni kihaya tu hili tatizo kwangu naliita tatizo kwani lilianza baada ya kuzozana nao.
Sasa nataka wajue kwamba najua kihaya ila kiukweli sikijui labda hamtanielewa trick ni hivi nitafake kupiga simu kwa dk hata mbili huku nikiongea kihaya wakinisikia watafikiria najua kihaya hivyo ni mambo ya saikolojia.
Nb: Mpangaji nipo peke yangu