mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,322
- 1,110
Kuna mdogo ameniuliza maswali nami yamenipiga chenga,
1. neno gani la kiswahili lina maana sawa na neno kibogoyo ?
2 panga neno lifuatalo lillete maana ya kiswahili " RAHASIHI "
Natanguliza shurani,
1. neno gani la kiswahili lina maana sawa na neno kibogoyo ?
2 panga neno lifuatalo lillete maana ya kiswahili " RAHASIHI "
Natanguliza shurani,