MAUBIG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,039
- 855
Nawasalimu wadau wote wa jukwaa hili
Naomba msaada wa maswali ya Entrepreneurship kutoka chuo tajwa hapo juu kwenye mada, yawe ya Final exams or Internal test/Seminar questions, nina shida nayo sana wajameni, au ikishindikana kupata ya moja kwa moja kutoka Arusha Tech basi kutoka chuo chochote cha ndani kinachoeleweka.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu
Naomba msaada wa maswali ya Entrepreneurship kutoka chuo tajwa hapo juu kwenye mada, yawe ya Final exams or Internal test/Seminar questions, nina shida nayo sana wajameni, au ikishindikana kupata ya moja kwa moja kutoka Arusha Tech basi kutoka chuo chochote cha ndani kinachoeleweka.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu