Mkuu inategemea unakwenda kufanya kazi wapi..na database gani na company ina deal na nini,tangazo la kazi linasemaje...wanahitaji nini hapo...so ni vitu vingi vya kuangalia hata kabla hujaomba kazi hiyo...so utakacho andika kwenye Resume yako mara kwa mara ndio watakacho kuuliza na kama kuna ya ziada kuangalia kama una uwezo wa kufikiri zaidi ya unacho jua na kama uko tayari kupokea vitu vipya.
Wakati mwingine...unaweza kuta wao wana maswali yao..kwa mfano nilisha fanya interview aliye nifanyia alikuwa ana maswali 17 ambayo yalitokana na nilicho andika kwenye CV.Baadhi ya nyakati inabidi uwe na hicho ulicho kiandika kwenye kichwa..bila kufunua CV yako....
Kila la heri.