Msaada wa maswali ya usaili kwa databases

Bebrn

Senior Member
Joined
Mar 20, 2008
Posts
103
Reaction score
24
mambo vp?
samahanini naomba mtu mwenye maswali na majibu ya databases ambayo mara nyingi yanaulizwa kwenye interview anitumie!
hv gud day
 
unamuda gani unatumia database?

unaexperience ya muda gani kwenye utumiaji wa database tofauti?
 
Nadhani ingekuwa bora ukatumia google,kuna kila aina ya maswali ya interview na majibu
 
mambo vp?
samahanini naomba mtu mwenye maswali na majibu ya databases ambayo mara nyingi yanaulizwa kwenye interview anitumie!
hv gud day

Bebrn,
Wewe kama umesoma database na unaielewa, huna haja ya kujikunja kuandaa maswali na majibu ya interview. Hakuna mwenye interest "kwenye effective interview" kujua unachoju. Interview zilizoenda shule huwa wanapima uwezo wa mtu kufikiria na kufanya maamuzi sahihi.
"Msomi sio anayejua kila kitu kichwani... Bali ni yule ajuaye pa kupata anachokihitaji!"
 
Mkuu inategemea unakwenda kufanya kazi wapi..na database gani na company ina deal na nini,tangazo la kazi linasemaje...wanahitaji nini hapo...so ni vitu vingi vya kuangalia hata kabla hujaomba kazi hiyo...so utakacho andika kwenye Resume yako mara kwa mara ndio watakacho kuuliza na kama kuna ya ziada kuangalia kama una uwezo wa kufikiri zaidi ya unacho jua na kama uko tayari kupokea vitu vipya.

Wakati mwingine...unaweza kuta wao wana maswali yao..kwa mfano nilisha fanya interview aliye nifanyia alikuwa ana maswali 17 ambayo yalitokana na nilicho andika kwenye CV.Baadhi ya nyakati inabidi uwe na hicho ulicho kiandika kwenye kichwa..bila kufunua CV yako....

Kila la heri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…