Msaada wa mawasiliano na kufahamishwa kilipo chuo cha nursing school at KCMC

Ngongongare

Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
48
Reaction score
18
Wadau habari zenu...?Naomba kama kuna yeyote anayefahamu mahali kilipo chuo cha Nursing school at KCMC certificate level anielekeze na kama anazo contact zao anisaidie pia maana kuna ndugu yangu kachaguliwa hiyo course kupitia nacte katika chuo husika but nimefanya mawasiliano na Kcmc nursing school wanasema hakuna course ya basic technician(certificate) pale chuoni kwao na kuna watu 25 akiwemo ndugu yangu majina yao yamechaguliwa pale kutoka Nacte. na mpaka leo hatujapata joinining instruction kwenye profile yake kama ilivyoelekezwa.
Ni matumaini yangu kuwa nitasaidiwa

Lengo ni kupata joining instruction ili tuweze kufanya maanadalizi ya mapema maana wasukuma wanasema "mvua za kwanza ndio za kupandia"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…