Msaada wa mawasiliano ya University of Iringa

Msaada wa mawasiliano ya University of Iringa

Amaizing Mimi

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2019
Posts
489
Reaction score
1,102
Habarini wanajamvi

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kwa muda mrefu sasa najaribu kufanya mawasiliano bila mafanikio kwani namba zao hazipokelewi na email address haijibiwi.

Kama kuna namna nyingine ya mawasiliano naomba msaada.
 
Na mimi nahitaji ile website yao naona ni kimeo.
 
Habarini wanajamvi

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kwa muda mrefu sasa najaribu kufanya mawasiliano bila mafanikio kwani namba zao hazipokelewi na email address haijibiwi.

Kama kuna namna nyingine ya mawasiliano naomba msaada.
MAWASILIANO YA UOI - CHUO KIKUU CHA IRINGA

Mobile No: Mobile No:+255743802615/ +255677048774/ +255753618173/ +255743082615

Web: www.uoi.ac.tz
E-Mail: admissions@uoi.ac.tz
 
Ahsante mdau.lakini hizo namba ninazo na hazipokelewi na email hawajibu
 
Back
Top Bottom