joel amani
Senior Member
- Nov 22, 2011
- 100
- 8
vp umefanya research ya biashara ya MPESA kama inatoka??inapatikana kwanza..?huo mtaji unatosha sana kuanza kufanyia biashara iyo.........kama utahitaji line na vitukama ivyo niPM........sihitaji kuchukua ela yako...unatumiwa laini unafanya biashara mwishio wa mwezi unanilipa asilimia 25 ya faida utakayopata..ni ushapu wako..unaweza ukapata faida laki 3 au 4 au hata 5 na zaidi kutegemea na transactions..karibu