Msaada wa mawazo: Chuo wamegoma kunipa clearance letter

Mdenya blood

Member
Joined
Apr 27, 2015
Posts
51
Reaction score
5
Msaada wa kimawazo wakuu!

Mimi nilikua mwanafunzi wa chuo kikuu lakini kutokana na sababu mbalimbali nilishindwa kuendelea na masomo hivyo ikanibidi niache kusoma. Juzi nikaanza mchakato mpya wa kuomba vyuo lakini nilishindwa sababu nilishawahi kuomba vyuo.

Leo nimeenda chuoni kwangu kuomba Clearance letter ili niipeleke TCU cha ajabu wahusika wamekataa kunisaidia, wamenizungusha.

Je nitumie njia gani ili niweze kupata admission kwa mwaka huu.
 
Mkuu usilalamike hiyo ni hali ya kawaid tu,

Jaribu kwenda na kajieleze vizuri wakikataa jaribu kuona mamlaka iliyo juu zaidi ya hiyo watakupatia tu.
Pole kwa kusumbuliwa ila usikate tamaa.
 
Utaratibu ni mpaka umalize miaka mitatu kitaa ndio mwaka wa nne unaomba tena unapata. Ndio vyuo vyetu mkuu. Hapo vuta subira tu anza ujasiriamali mtaani. Ile disco ina probation ya miaka mitatu. Ngoma inogile hiyo uwii inachezekaje hivi!?
 


pole mkuu! Labda ungeeleza matatizo gani yalikufanya uachane na mambo ya kijinga ya kusoma chuo from that utapata sababu why hawataki kukupa clearence form
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…