U ufumawicha JF-Expert Member Joined Mar 16, 2014 Posts 504 Reaction score 209 Jun 24, 2016 #1 Naombeni mawazo yenu niko iyunga Mbeya,nina kamtaji ka sh.350000/=.Naombeni wazo la biashara ya kufanya ila lengo nililonalo ni kwa kila laki moja angalau nipate faida ya sh.3000/= kwa siku! NAOMBENI MAWAZO YENU WAKUU
Naombeni mawazo yenu niko iyunga Mbeya,nina kamtaji ka sh.350000/=.Naombeni wazo la biashara ya kufanya ila lengo nililonalo ni kwa kila laki moja angalau nipate faida ya sh.3000/= kwa siku! NAOMBENI MAWAZO YENU WAKUU
santos mtn JF-Expert Member Joined Jul 9, 2015 Posts 348 Reaction score 369 Jun 26, 2016 #2 huko gunia la viaz shngp
U ufumawicha JF-Expert Member Joined Mar 16, 2014 Posts 504 Reaction score 209 Jun 28, 2016 Thread starter #3 viazi gani,mviringo au vitamu?