Msaada wa mawazo juu ya jambo hili

ufumawicha

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
504
Reaction score
209
Naombeni mawazo yenu niko iyunga Mbeya,nina kamtaji ka sh.350000/=.Naombeni wazo la biashara ya kufanya ila lengo nililonalo ni kwa kila laki moja angalau nipate faida ya sh.3000/= kwa siku!
NAOMBENI MAWAZO YENU WAKUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…