Msaada wa Mawazo kibiashara

Pilato Mweusi

Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
84
Reaction score
66
Wakuu poleni na majukumu
Mi nikijana ambae nataka kujiajiri sasa napata tatizo kidogo, nimeweza kuanzisha website yangu
na pages kadhaa tayari kwaajili ya advertisements sasa nimefika kati kati nimekwama kifedha na bado cjapata fedha ya kwenda ku Register Kampuni bado...
Sasa nataka kufahamu je kisheria ni sawa kuwa na hvyo vitu hewan ili hali bado
 
Ndugu hali ya sasa fanya tu mambo kihalali yanayotakiwa mfano kama hio ku register, angalia yale ya umuhimi.ambayo unaweza kufanya sasa hivi halaf ndo uende katika.mengine uyamalize taratibu huku ukijarabi kutafuta msaada
 
REGISTER KAMPUNI KWANZA IKAE SAWA THEN TOVUTI IFUATE ILA HATA UKIANZA NA TOVUTI FRESH TU INATEGEMEA NA BAJETI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…