Msaada wa mawazo kuhusu kujiendeleza kielimu na kazi pia

Msaada wa mawazo kuhusu kujiendeleza kielimu na kazi pia

xxxyyy

Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
8
Reaction score
0
Mimi ni kijana, Elimu yangu ni Bsc degree Infomramtion Technology (IT). Nimefanya kazi za IT upande wa technical kwa miaka 4. Sasa naona wakati umefika wa mimi kujiendeleza kielemu ili niachane na kazi za technical. Msaada wa mawazo kwenu nyote hasa wale ambao mmenitangulia kielimu na kikazi pia, Je nikasome Masters ya kitu gani na wapi (sitaki IT tena labda itokee tu), au nifanye certification gani ili niwe competent zaidi katika soko hili la ajira?

Asanteni.
 
soma issue za kilimo sua
zipo marketable sana kwenye soko la ajira
 
Pole sana, IT/Computer Science ni very interesting na ina vitu vingi sana vya kufanya kama kweli uko competent and we are now heading into the Full Technological World (FTW)
 
Back
Top Bottom