Msaada wa mawazo kuhusu Masomo na Muziki

Msaada wa mawazo kuhusu Masomo na Muziki

Mdau tu

Member
Joined
Jun 8, 2024
Posts
22
Reaction score
22
Wadau habari zenu nimerudi tena, ndugu yenu nimepata zari wakubwa.

Nimepata chance ya kufundishwa production ya mziki na producer mkubwa sana tu hapa bongo kama nilivowaambiaga nna tatizo la bipolar ila mziki ni kitu ambacho nimekifanya kwa mda mrefu bila kujali tatizo hilo tofauti na harakati nyingine zimekua zikinishinda
Ila kipengele ni kwamba nipo chuo na chuo wamenambia hawatoi uhamisho mpaka nimalize semester ya pili.

Nahofia kuipoteza hiyo nafasi na pia tatizo langu linanifanya nisiwa na vibe na shule kabisa. Sasa shida ipo Kwa mzazi anataka nisome.

Mnanishaurije?
 
Wadau habari zenu nimerudi tena, ndugu yenu nimepata zari wakubwa.

Nimepata chance ya kufundishwa production ya mziki na producer mkubwa sana tu hapa bongo kama nilivowaambiaga nna tatizo la bipolar ila mziki ni kitu ambacho nimekifanya kwa mda mrefu bila kujali tatizo hilo tofauti na harakati nyingine zimekua zikinishinda
Ila kipengele ni kwamba nipo chuo na chuo wamenambia hawatoi uhamisho mpaka nimalize semester ya pili.

Nahofia kuipoteza hiyo nafasi na pia tatizo langu linanifanya nisiwa na vibe na shule kabisa. Sasa shida ipo Kwa mzazi anataka nisome.

Mnanishaurije?
Soma,Mtafute sana Elimu usimuachr ndio uzima wako!
 
Back
Top Bottom