Msaada wa mawazo kwa mwenye uelewa juu ya hili la tcu/nacte

irumba1

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2013
Posts
882
Reaction score
321
aman kwenu wana jf,jaman nataka ku-apply chuo kwa kutumia equivalent qualification (diploma in education),sasa katika kupitiapitia tcu guide book 2014/15 wameandika atleast mtu awe na SECOND CLASS OR CREDIT OR B AVERAGE.mim nina GPA 2.9 Nitajuaje kama ni second,credit au B average? Na je chuo panaingilika kweli?,msaada wenu kwa wenye uwelewa plz.
 
hiyo unaingia chuo kama kawaida mkuu ,minimum ni 2.7 kama sikosei,ngoja nipate uhakika
 

ommission for Universities (TCU) in collaboration with National Council forTechnical Education (NACTE) hereby inform all prospective applicants that, theCentral Admission System is now openfor all applicants who wishto apply for admission into higher education institutions for the 2013/2014academic year. The applicationthrough CAS will involve:a) Form Six applicants who completed form four from the year 1988 onwards;b) Applicants with Diploma in teacher education who completed in 1988to 2013;c) Applicants with Full Technician Certificates (FTC) who completedin 1988 to 2013;d) Applicants who completed their Ordinary Diploma in technicaleducation (NTA Level 6) in 1988 to 2013; e) All applicants with other diplomas (non-NTA level 6) from Tanzanian institutions recognized byTCU/NACTE;f) All applicants with diplomas from outside Tanzania which have beenrecognized by TCU/NACTE.g) Applicants with foreign certificates who completed their advancedlevel certificates between 1988 and 2013.1.0 Minimum entry qualifications for Admission into Higher EducationInstitutions (HEIs).The minimumentry requirements set by TCU and NACTE to join HEIs are as follows:a) For F.6applicants the minimum entry qualification is two principal passes in A-Levelwith a total of 2.0 points and three credits at ‘O' Level.b) For the Diploma applicants the minimum entry qualification is at leastFour O level passes (D's and above) or NVA level III with less than four Olevel passes or equivalent foreign qualifications as established by eitherNECTA or VETA;

AND

(i) Ordinary Diploma (NTA Level 6) with at least GPA of 2.7; or
(ii) Full Technician Certificate (FTC) with at least points average of 2.7(where A=5, B=4,C=3 and D=2 points); or
(iii) Diploma in Teacher Education with an average of ‘C' grade; or
(iv) Health related awards such as Clinical Medicine and others with average of‘B' grade; or
(v) Credit class diploma for classified diplomas and certificates in terms of‘distinctions, credit or pass' or
(vi) Lower Second Class diploma for classified non-NTA diplomas;
or
(vii) Average of ‘B' grade or lower second class in recognized pre-entryprogramme offered by technical institutions accredited by NACTE for both Alevel and Diploma holders with lower than minimum entry requirements.

2.0 How to applyi) All applicantswill apply through the Central Admissions System which is available on TCU and NACTE websites: www.tcu.go.tz andwww.nacte.go.tz. ii) Applicants willbe required to choose 3-5 programme choices with maximum of two programmechoices from one institution basing on programme requirements given in the‘Admissions Guidebook for Higher Education Institutions' available on TCU and NACTE websites. iii) All applicantsare advised to follow the stages for registration and application carefully toavoid any inconveniences.3.0 Mode of paymentCategory A: The paymentsfor the following applicants will be done through NBC bank:i) Form sixapplicants, ii) Applicants withForeignO-level and/or A-level certificates, Application fee forcategory A· Tanzanians willbe required to pay a non-refundable application fee of TSHS.50,000/- payablethrough NBC branches country wide,· Non-Tanzanianswill be required to pay US$60 through CAS Account at any NBC bank countrywide(TCU-CAS Acc. No.074139000021), and· Non-Tanzaniansresiding outside Tanzania will be required to pay US$60 through CAS accountnumber (TCU-CAS Acc.No.074139000021). The swift code: NLCBTZTX.Category B: will involvethe following:-i) Applicants withNTA level 6 qualifications,ii)Applicants withDiploma in Teacher Education,iii) Applicants withFTC qualifications,iv) Applicants withother diploma qualifications.This category will be required to pay an applicationfee through M-Pesa by following the steps below:-

aa MKUU NI 2.7 MWISHO SO NADHANI UNAVIGEZO KUTOKANA NA MAELEZO YA TCU
 
MBONA MAELEZO YAPO WAZI


Tanzania Commission for Universities

Applications for Admission into Higher Education
Institutions through the Central Admission System (CAS)
for academic year 2014/2015

Tanzania Commission for Universities (TCU) in collaboration with National
Council for Technical Education (NACTE) hereby inform all prospective
applicants who completed their studies from 1988 to 2013 that, they will start
lodging their applications for admission into higher education institutions for
the 2014/2015 academic year through the Central Admission System on
Thursday, 24th April 2014.

The application through CAS will involve:
a) Form Six applicants who completed form four from the year 1988 to
2013;
b) Applicants with Diploma in teacher education who completed in 1988 to
2013;
c) Applicants with Full Technician Certificates (FTC) who completed in
1988 to 2013;
d) Applicants who completed their Ordinary Diploma in technical
education (NTA Level 6) in 1988 to 2013;
e) All applicants with other diplomas (non-NTA level 6) from Tanzanian
institutions recognized by TCU/NACTE;
f) All applicants with diplomas from outside Tanzania which have been
recognized by TCU/NACTE.
g) Applicants with foreign certificates who completed their advanced level
certificates between 1988 and 2013.
2

1.0. Minimum entry qualifications for Admission into Higher Education
Institutions (HEIs).

The minimum entry requirements set by TCU and NACTE to join HEIs are as
follows:
a) For F.6 applicants the minimum entry qualification is two principal
passes in A-Level with a total of 2.0 points (Using Old Grading System)
and three credits at ‘O' Level.
b) For the Diploma applicants the minimum entry qualification is at least
Four O level passes (D's and above) or NVA level III with less than four
O level passes or equivalent foreign qualifications as established by
either NECTA or VETA;

AND

i) Ordinary Diploma (NTA Level 6) with at least GPA of 2.7; or
ii) Full Technician Certificate (FTC) with at least points average of 2.7
(where A=5, B=4,C=3 and D=2 points for Old Grading System); or
iii) Diploma in Teacher Education with an average of ‘C' grade; or
iv) Health related awards such as Clinical Medicine and others with average
of ‘B' grade; or
v) Credit class diploma for classified diplomas and certificates in terms of
‘distinctions, credit or pass' or
vi) Lower Second Class diploma for classified non-NTA diplomas; or
vii) Average of ‘B' grade or lower second class in recognized pre-entry
programme offered by technical institutions accredited by NACTE for
both A-level and Diploma holders with lower than minimu
 
MBONA MAELEZO YAPO WAZI


Tanzania Commission for Universities

Applications for Admission into Higher Education
Institutions through the Central Admission System (CAS)
for academic year 2014/2015

Tanzania Commission for Universities (TCU) in collaboration with National
Council for Technical Education (NACTE) hereby inform all prospective
applicants who completed their studies from 1988 to 2013 that, they will start
lodging their applications for admission into higher education institutions for
the 2014/2015 academic year through the Central Admission System on
Thursday, 24th April 2014.

The application through CAS will involve:
a) Form Six applicants who completed form four from the year 1988 to
2013;
b) Applicants with Diploma in teacher education who completed in 1988 to
2013;
c) Applicants with Full Technician Certificates (FTC) who completed in
1988 to 2013;
d) Applicants who completed their Ordinary Diploma in technical
education (NTA Level 6) in 1988 to 2013;
e) All applicants with other diplomas (non-NTA level 6) from Tanzanian
institutions recognized by TCU/NACTE;
f) All applicants with diplomas from outside Tanzania which have been
recognized by TCU/NACTE.
g) Applicants with foreign certificates who completed their advanced level
certificates between 1988 and 2013.
2

1.0. Minimum entry qualifications for Admission into Higher Education
Institutions (HEIs).

The minimum entry requirements set by TCU and NACTE to join HEIs are as
follows:
a) For F.6 applicants the minimum entry qualification is two principal
passes in A-Level with a total of 2.0 points (Using Old Grading System)
and three credits at ‘O' Level.
b) For the Diploma applicants the minimum entry qualification is at least
Four O level passes (D's and above) or NVA level III with less than four
O level passes or equivalent foreign qualifications as established by
either NECTA or VETA;

AND

i) Ordinary Diploma (NTA Level 6) with at least GPA of 2.7; or
ii) Full Technician Certificate (FTC) with at least points average of 2.7
(where A=5, B=4,C=3 and D=2 points for Old Grading System); or
iii) Diploma in Teacher Education with an average of ‘C' grade; or
iv) Health related awards such as Clinical Medicine and others with average
of ‘B' grade; or
v) Credit class diploma for classified diplomas and certificates in terms of
‘distinctions, credit or pass' or
vi) Lower Second Class diploma for classified non-NTA diplomas; or
vii) Average of ‘B' grade or lower second class in recognized pre-entry
programme offered by technical institutions accredited by NACTE for
both A-level and Diploma holders with lower than minimu
Diploma holders who do not have at
least a GPA of 2.7 or average of B or Credit they are advised not to apply
or pay application fee as they do not meet the minimum requirements
to be enrolled in any degree programme offered by higher learning
 
Nashukuru Danp36 ila hayo ni maelezo ya jumla, maelezo niliyoyatoa mim yanapatikana kwenye baadhi programmes husika yakuwa mtu awe na Second class,credit or B average na hawakumalizia kusema GPA 2.7 kama ambavyo wamefanya kwenye baadhi ya programmes ndio nikaomba ufafanuz
 

G.P.A 2.9 ila unapochagua chuo chagua vyuo vya private cos governmen wana ringa sana ,ila chuo kama st Agustine ,makumira,arusha na vingine vingi tuu utapata,shaka ondoa.
 
G.P.A 2.9 ila unapochagua chuo chagua vyuo vya private cos governmen wana ringa sana ,ila chuo kama st Agustine ,makumira,arusha na vingine vingi tuu utapata,shaka ondoa.

hizi information zitanisaidia na mimi
 

mkuu Irumba1 naona mishe ndo zinaanza
 
mkuu Irumba1 naona mishe ndo zinaanza

Ndio ndugu yangu,sema mi nilitaman kupata chuo cha serikal kwa vile bei ni nafuu nijilipie mwenyewe coz sina uhakika na bodi mwaka jana walinitosa hivi hivi
 
G.P.A 2.9 ila unapochagua chuo chagua vyuo vya private cos governmen wana ringa sana ,ila chuo kama st Agustine ,makumira,arusha na vingine vingi tuu utapata,shaka ondoa.
BISHOPSAMY mim nilitaka nipate chuo cha serikal nijigharamie mwenyewe kwa vile bei yao ninafuu kidogo ukilinganisha na vya private na bodi sina uhakika nao kwani mwaka jana walinichinjia baharini.
 
BISHOPSAMY mim nilitaka nipate chuo cha serikal nijigharamie mwenyewe kwa vile bei yao ninafuu kidogo ukilinganisha na vya private na bodi sina uhakika nao kwani mwaka jana walinichinjia baharini.

irumba#chuo cha serikali chenye ada kidogo kwa sasa ni Udom pekee,the rest tofaut ni kidogo sana,angalia kwenye guide book,udsm ni milion1,vyuo vya sauti ni M1 point 2 mpaka 4,mf Ruhaa ni m1,so chagua vyenye ada ndogo,ila ata serikalin chagua but ukiweke serikali chaguo la kwaza NACTE watakupanga bila shida,ila uko chuoni sasa ina bidi ufunge na kuomba wasi rudishe jina au waliweke kapuni,mwaka jana walibembelezwa wa tangaze selection UDOM na UDSM waka goma.wengi wali amishiwa muslim (mum)apo moro,wengine jordan na teku baada yakwenda NACTE, €eye witness£
 
Duh! Haya mambo haya Mungu na asaidie
 
Ndio ndugu yangu,sema mi nilitaman kupata chuo cha serikal kwa vile bei ni nafuu nijilipie mwenyewe coz sina uhakika na bodi mwaka jana walinitosa hivi hivi

ok poa mkuu Irumba1,nipo naangalia hii "undergraduate admission guidebook" naona wana maelezo mazuri tu.vyuo vya serikali tuition fee inaenda mpaka 1.3M kwa science na arts,kwenye upande wa arts possible loan amount wameandika ni 650000 na kwa science possible loan amount kwa vyuo vya serikali inakuwa ni sawa na tuition fee yote! sasa sijaelewa maana yake,n kwamba wanamaanisha arts wanapata 50% na science 100% au ni nini? na kwa kutumia equivalent qualification wanaonesha unatakiwa kuwa na not less than 2nd class or credit level or average of B grade or upper second class, 4.5~5 ni distinction,4.4~3.5 ni credit,3.4~2.5* ni pass af kuna reffered kama mtu ana supplimentary na mwisho ni failed,sasa kulingana na mgawanyo huo binafsi sijaelewa 2nd class,b average,upper 2nd zinakuwa wapi,ila g.p.a ni 2.7> inayotakiwa
 
kwa kutumia equivalent qualification wanaonesha unatakiwa kuwa na not less than 2nd class or credit level or average of B grade or upper second class, 4.5~5 ni distinction,4.4~3.5 ni credit,3.4~2.5* ni pass af kuna reffered kama mtu ana supplimentary na mwisho ni failed,sasa kulingana na mgawanyo huo binafsi sijaelewa 2nd class,b average,upper 2nd zinakuwa wapi,ila g.p.a ni 2.7> inayotakiwa[/QUOTE]
Mkuu ndo hapo na mim pananitatanisha,halaf mim nimepiga dip ya educ. Lakin ni masomo ya biashara nina uwanja mdogo sana ukilinganisha na masomo ya art na sayansi.
 
Mi nina 2.7 exactery Education Dip nimemaliza. Nimesoma Bios na Geo. Nitapata chuo? Mnisaidie
 
Mi nina 2.7 exactery Education Dip nimemaliza. Nimesoma Bios na Geo. Nitapata chuo? Mnisaidie

lazima upate chuo,cha msingi nasisitiza ukiona point zako sio nyingi chagua private,ukikosa chuo ni mp,jaman 2some cos serikali aitujali walimu kabisa,salary mpaka leo akuna,mm ningekua afisa elimu anaetaka kusoma nampa mpaka nauli akasome.
 
lazima upate chuo,cha msingi nasisitiza ukiona point zako sio nyingi chagua private,ukikosa chuo ni mp,jaman 2some cos serikali aitujali walimu kabisa,salary mpaka leo akuna,mm ningekua afisa elimu anaetaka kusoma nampa mpaka nauli akasome.

Bishopsamy kumbe na we umeioana hii kitu! ila halmashauri nyingine nasikia migodi ishatema,nafikiri soon mambo yatakuwa poa na kwingine! kusoma saiv ndo mpango serikali inatutania sana,hela zenyewe chache af hawatoi kwa wakati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…