Msaada wa mawazo na utalaamu tcu yanipa kichaaa

Msaada wa mawazo na utalaamu tcu yanipa kichaaa

kinota

Member
Joined
Feb 8, 2012
Posts
41
Reaction score
3
Mwanzoni kozi 6 zilikuwa eligible na 2 not eligible ,jana nikazipanga vizuri laa ajabu hata zilizo kuwa eligible zikaja not ligible mpaka hiv napo omba msada hali iko hivyo.NIFANYEJE MWENZENU?
 
Mdogo wangu jana hajala kabisa tumekesha usiku mpaka ikakubali ushauri wangu embu jaribu usiku saa 7 au 8 na hakika itakubali
 
tatizo nyie madogo nao mna viherehere,kutwa mko bize kubadili programs,ridhiken na zile mnazokua mmeambiwa eligible
 
Mwanzoni kozi 6 zilikuwa eligible na 2 not eligible ,jana nikazipanga vizuri laa ajabu hata zilizo kuwa eligible zikaja not ligible mpaka hiv napo omba msada hali iko hivyo.NIFANYEJE MWENZENU?
mbona kawaida 2 kaka, kuna sehemu imeandikwa CLICK HERE kwa wino mwekundu, bonyeza hapo, ila hakikisha trafk, sio kubwa...
Ila baadae, zitakubali.
 
TCU wamesema sio lazima programs zoote 8 uwe eligible wanasema hata zikiwa 6
 
tatizo nyie madogo nao mna viherehere,kutwa mko bize kubadili programs,ridhiken na zile mnazokua mmeambiwa eligible

Umeonaeeeeee, wabongo tuna kazi za kuchezea system tu.
 
Umeonaeeeeee, wabongo tuna kazi za kuchezea system tu.

kweli kaka waambie sana kwa sababu madogo wengine hawajui mitandao mda wote nikubadilishabadilisha tafikiria wako facebook
 
Back
Top Bottom