Wizara za elimu, maendeleo ya jamii wakishirikiana na idara ya ustawi wa jamii wametoa minimum standards(viwango) kwa vituo/shule hizo zitafute usome kwanza kuhusu majengo,sifa za walimu etc. Ila wazo lako zuri keep it up! Pia ujue day care (watoto wa 3 to 4yrs) zipo chini ya idara ya ustawi wa jamii. Pre primary( watoto wa 5 to 6yrs) iko chini ya wizara ya elimu