Nipo na kamtaji kama ml 2 hivi nataka kuanzisha play station hapa town napoishi...kwa wenye uzoefu haka kabiashara kapoje wakuu upande Wa maslahi yake na changamoto zake...Asanteni
Mkuu fikiria Tena kitu kitakacho prolong kwa muda mrefu Na faida ambayo haitakuja kupotea kama upo mikoa mizuri Nunua Kuku kazaa Wa kienyeji fuga kwa umakini na utafurahi baadae