Msaada wa mawazo nataka kulima

Msaada wa mawazo nataka kulima

Joasi

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
766
Reaction score
674
Poleni na kazi kaka na dada zangu.
Mimi ni kijana nimemaliza chuo sasa sehemu ya kujishikiza Sijapata.
Nipo morogoro mjini.
(1) naomba kujua ni maeneo gani mazuri ya kulima mazao ya kumwagilia .
Mahindi,vitunguu maji na mengineyo mtakayonishauri.

(2) kwa mwenye experience ya maeneo hayo please anipatie ushauri .

Nimejipanga sh laki 5.5 na nipo tayari,
Nimeamua kuingia shambani kwa umakini sana Ili kupata faida .

Asante.
 
Mkuu kama upo morogoro jaribu kutembelea dakawa kuna wakulima wengi wanalima kwa kumwagilia kwa kutumia mto wami
 
Hiyo pesa ni ya kukodisha shamba pamoja na kulima?
 
Back
Top Bottom