M Man tofa Member Joined Oct 7, 2014 Posts 60 Reaction score 8 Apr 24, 2015 #1 Nina wazo la kununua Toyo kwa ajili ya kuchukulia mizigo. Je, kinalipa hasa kwa maeneo yenye masoko. Asanteni wadau
Nina wazo la kununua Toyo kwa ajili ya kuchukulia mizigo. Je, kinalipa hasa kwa maeneo yenye masoko. Asanteni wadau
Issa SLuu JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 2,303 Reaction score 1,803 Apr 24, 2015 #2 mh..labda ununue Suzuki carry ,,ila biashara ya vyombo vya Moto Ni biashara kichaa Tu,,,ila toyo sikushauri mkuu
mh..labda ununue Suzuki carry ,,ila biashara ya vyombo vya Moto Ni biashara kichaa Tu,,,ila toyo sikushauri mkuu
M Mtoto Tajiri JF-Expert Member Joined Sep 29, 2014 Posts 300 Reaction score 173 Apr 24, 2015 #3 Biashara kichaa ni serikali ya ccm tu,biashara zingine zilizobaki zipo poa2
M mbavuchanga Member Joined Mar 19, 2015 Posts 70 Reaction score 7 Apr 24, 2015 #4 Apana kila biashara ina hasara na pia unaweza kuziepuka fanya ili ujue changmoto zke
P Promenthous JF-Expert Member Joined Apr 2, 2013 Posts 338 Reaction score 397 Apr 25, 2015 #5 Nyemanze said: mh..labda ununue Suzuki carry ,,ila biashara ya vyombo vya Moto Ni biashara kichaa Tu,,,ila toyo sikushauri mkuu Click to expand... Kwa muono wangu,changamoto kubwa ya biashara ya vyombo vya moto na machine ni "DEPRECIATION" uchakavu,ukiweza kukabiliana na hiyo changamoto utafanikiwa sana.
Nyemanze said: mh..labda ununue Suzuki carry ,,ila biashara ya vyombo vya Moto Ni biashara kichaa Tu,,,ila toyo sikushauri mkuu Click to expand... Kwa muono wangu,changamoto kubwa ya biashara ya vyombo vya moto na machine ni "DEPRECIATION" uchakavu,ukiweza kukabiliana na hiyo changamoto utafanikiwa sana.