MSAADA WA MAWAZO. nianzishe biashara gani.

MSAADA WA MAWAZO. nianzishe biashara gani.

Brob

Member
Joined
May 12, 2013
Posts
92
Reaction score
19
Mm ni muajiriwa katika shirika moja la umma kilichonifanya mpaka nijongee kwenye jukwaa hili ni mawazo yenu wadau napenda kufanya biashara kwani suala la kuajiriwa limekua gumu kwangu. si mara ya kwanza kufanya biashara ni mara mbili saiz lakini naprove failure mara ya kwanza nilifungua duka la soft drinks lakini likaisha kulingana na usimamizi mbovu kwani nilimuajiri dada mmoja hv.
nilijipa matumaini kufel mara ya kwanza isinipe taabu niliamua kuchukua mkopo wa million kumi na moja. ambao naurudisha kupitia mshahara wangu. nikaanzisha biashara ya maji nilikua wakala wa maji wilaya ya Mbalali yanayoitwa maji Africa yanapatikana Iringa lakini mambo hayakua kama nilivotarajia kwani kuna kiwanda kingine kilianzishwa wilayani humo kikawa kinatoa maji yanaoitwa IHEFU so biashara yangu ikadoda hivyo nikaacha na hela yote nikaishiwa sasa mkopo wangu nimekaribia kumaliza ningependa kuchukua mkopo mwingine wa million kumi kwani target yangu ni kuacha kazi endapo nitafanikiwa naomba ushauri ni biashara gani inaweza kunifaa kwa mtaji huo lakini ambayo naweza muajiri mtu wa kuisimamia kwani mm nafanya kazi porini na naweza nisiwe hewani kwa mwezi mzima.
Biashara hyo ningependelea iwe Iringa kwani itakua rahisi kuikagua.
 
Kutokana na maelezo yako hapo juu unapenda biashara ila unaingia bila kufanya utafiti wala kuwa makini mradi una mtaji unaamini ndio kila kitu. Kufeli mara mbili inabidi uangalie sababu zilizokufelisha na jinsi gani utaziepuka zisijirudie.....fanya utafiti hasa wa nini ufanye kutaokana na fursa zilizopo, nini utafanya ikitokea ushindani kama ulivyotokea kwa maji ya uhai, wafanyakazi bora na jinsi ya kuwa manage. Kama kweli unadhamiria hata kuacha kazi ili ufanye biashara hebu jaribu kuwa na vision unataka kuwa nani kupitia nini (mission), na pia ubora, udhaifu na jinsi ya kulilinda wazo lako. jaribu kuwa na plan kwanza hata kama mkopo unapewa bila kuulizwa plan ila wewe andaa na kupitia hiyo utaelewa gharama na pia mapato na faida. Ngoja waje wajuzi hapa watakuelewesha
 
Kutokana na maelezo yako hapo juu unapenda biashara ila unaingia bila kufanya utafiti wala kuwa makini mradi una mtaji unaamini ndio kila kitu. Kufeli mara mbili inabidi uangalie sababu zilizokufelisha na jinsi gani utaziepuka zisijirudie.....fanya utafiti hasa wa nini ufanye kutaokana na fursa zilizopo, nini utafanya ikitokea ushindani kama ulivyotokea kwa maji ya uhai, wafanyakazi bora na jinsi ya kuwa manage. Kama kweli unadhamiria hata kuacha kazi ili ufanye biashara hebu jaribu kuwa na vision unataka kuwa nani kupitia nini (mission), na pia ubora, udhaifu na jinsi ya kulilinda wazo lako. jaribu kuwa na plan kwanza hata kama mkopo unapewa bila kuulizwa plan ila wewe andaa na kupitia hiyo utaelewa gharama na pia mapato na faida. Ngoja waje wajuzi hapa watakuelewesha

nashukuru kwa ushauri wako pia nawasubiri wajuzi wanipe mwanga.
 
Kutokana na maelezo yako hapo juu unapenda biashara ila unaingia bila kufanya utafiti wala kuwa makini mradi una mtaji unaamini ndio kila kitu. Kufeli mara mbili inabidi uangalie sababu zilizokufelisha na jinsi gani utaziepuka zisijirudie.....fanya utafiti hasa wa nini ufanye kutaokana na fursa zilizopo, nini utafanya ikitokea ushindani kama ulivyotokea kwa maji ya uhai, wafanyakazi bora na jinsi ya kuwa manage. Kama kweli unadhamiria hata kuacha kazi ili ufanye biashara hebu jaribu kuwa na vision unataka kuwa nani kupitia nini (mission), na pia ubora, udhaifu na jinsi ya kulilinda wazo lako. jaribu kuwa na plan kwanza hata kama mkopo unapewa bila kuulizwa plan ila wewe andaa na kupitia hiyo utaelewa gharama na pia mapato na faida. Ngoja waje wajuzi hapa watakuelewesha
nakubaliana na wewe Mama Joe. Anapaswa azingatie huo ushauri. Pesa bila mawazo ni sawa na takataka.
 
Kama upo iringa tafuta ekari moja near town kama kule tosamaganga njia ya kwenda idodi fungua shamba la nguruwe,anza na nguruwe 50. Pia tafuta ekari 2 ulime mahindi,maboga, matangn kwa ajili ya chakula cha hao pigs. Muajiri mtu muaminifu.
 
Kuna uzi wa jamaa wa moro anafuga mguruwe,so usake humu ndani. Halaf huko porini unafanya kazi gani? Unaweza pata deal huko huko
 
Kama upo iringa tafuta ekari moja near town kama kule tosamaganga njia ya kwenda idodi fungua shamba la nguruwe,anza na nguruwe 50. Pia tafuta ekari 2 ulime mahindi,maboga, matangn kwa ajili ya chakula cha hao pigs. Muajiri mtu muaminifu.
This makes sense. Pia, Iringa iko vema sana kwa kilimo cha mbogamboga (horticulture). Anunue shamba katika vijiji vya Mahenge, Mbigili au vijiji vya jirani pale chini ta Kitonga na alime vitunguu, matango, nyanya, bamia au matikiti. Hivyo vijiji vinapitiwa na mto Lukosi, kwa hiyo kilimo cha umwagiliaji ni cha uhakika sana. Kwa msimu mmoja anaweza kupata zaidi ya hiyo 10M kaka atasimamia vizuri. Ni mtazamo wangu huo, kutokana na uzoefu wa pale
 
This makes sense. Pia, Iringa iko vema sana kwa kilimo cha mbogamboga (horticulture). Anunue shamba katika vijiji vya Mahenge, Mbigili au vijiji vya jirani pale chini ta Kitonga na alime vitunguu, matango, nyanya, bamia au matikiti. Hivyo vijiji vinapitiwa na mto Lukosi, kwa hiyo kilimo cha umwagiliaji ni cha uhakika sana. Kwa msimu mmoja anaweza kupata zaidi ya hiyo 10M kaka atasimamia vizuri. Ni mtazamo wangu huo, kutokana na uzoefu wa pale

nashukuru kwa ushauri i will make decision ila kinachonisumbua ni usimamiaji kwani kazi yangu ndo inayonibana kaka ninao wawili na kila mmoja anamambo yake na hawaishi Iringa kwani hata mm nipo huku kikazi tu ila maskani ni Mwanza
 
Back
Top Bottom