Msaada wa mawazo nina mtaji wa 1.5M

Hiyo unaweza kuwa na ka stationery kazuri tu
computer 250K
simple printer na scanner sijui bei ila tenga kama 500K
Then unaweza kutafuta ka fridge ka kizushi ukaweka vinywaji baridi tenga kitu kama 500K
tafuta frem simple tu hata kwa 100K per month unapata.
Then hiyo kitu kama 150K unaweza kuongeza vitu kama cards, textbooks, kalamu etc etc

cha umuhimu tafuta site nzuri tu kwa hivo vitu vyote am sure per day hutakosa net income hata 25K

pia unaweza tafuta camera simple uwe unapiga na passport size yaani wewe tu mwenyewe uamue

kila la heri
 
mtaji wa hiyo pesa ni mkubwa sana. naomba nijue kwanza jinsia yaki ke au me?
 
Thanks mkuu nimependaaa
 
Kwelu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…