Msaada wa Mawazo tafadhali

Msaada wa Mawazo tafadhali

raia_mwema

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2012
Posts
479
Reaction score
314
Mimi ni kijana niliyehitimu masomo yangu mwaka 2011 katika ngazi ya shahada. Baada ya kutuma maombi ya kazi mwaka mzima pasipo mafanikio.. Nimetafakari sana juu ya kujiajiri mwenyewe!

Binafsi nina uwezo wa kufanya ivyo pia nina busness idea mbili lakn kinachonikwamisha ni kukosa mtaji, yapo baadhi ya mabenki pia saccos nilizojaribu kwenda kwenye banjj wanahitaji dhamana ya asset hasa nyumba na viwanja kitu ambacho sina, saccos wanahitaji uweke kwanza 30% ya unachotaka kukopa ndo wakupe hela, mimi nahitaji kuanzia mil 5-10, dhamana niliyonayo ni vyeti vyangu vya shule..

Wanajamvi naombeni msaada wa mahali ambapo naweza pata huu mkopo.
 
Mkuu vyeti vya shule vinaweza kuwa Dhamana? Je ukishindwa kurejesha watavifanyaje? Wataviuza? Ungeweka na hizo Idea tungeweza kukuambia nini ufanye, mimi siwezi kushauri chochote wakati sijui hayo mawazo yako,
 
Mkuu nimetaja only asset niliyonayo, idea zangu may be nikupm!
Mkuu vyeti vya shule vinaweza kuwa Dhamana? Je ukishindwa kurejesha watavifanyaje? Wataviuza? Ungeweka na hizo Idea tungeweza kukuambia nini ufanye, mimi siwezi kushauri chochote wakati sijui hayo mawazo yako,
 
Ndo maana nikasema Hiyo Idea yako ingekuwa inajulikana labda tungekushauri vinginevyo make kuna altenative
 
Andaa mchanganuo wa biashara yako rafiki yangu,,ukishaiandika onyesha na gharama utakavyozitumia na faida unayoexpect na ni baada ya muda gani.nenda kwa wazazi wako ama ndugu zako waonyeshe na waambie mwenye chochote aweze kukuchangia,naexpect kwa ndugu zako na wewe isiwe pungufu ya 1 millioni (20%).
Then baada ya hapo anza kuwatembelea marafiki na watu ambao baadhi ya ndugu zako watakudirect,also usiweke limi hata mwenye 20000 we accept.ni kazi ngumu lakini ndio utajifunza kuwa ni ngumu kuraise capital na matajiri wengi walipata mitaji yao kwa njia hii.
 
Thankx, this iz good idea bt tatzo status za relative, hali zao halisi hawataweza kwakweli kufikis hiyo m1
Chimbuvu;
Andaa mchanganuo wa biashara yako rafiki yangu,,ukishaiandika onyesha na gharama utakavyozitumia na faida unayoexpect na ni baada ya muda gani.nenda kwa wazazi wako ama ndugu zako waonyeshe na waambie mwenye chochote aweze kukuchangia,naexpect kwa ndugu zako na wewe isiwe pungufu ya 1 millioni (20%).
Then baada ya hapo anza kuwatembelea marafiki na watu ambao baadhi ya ndugu zako watakudirect,also usiweke limi hata mwenye 20000 we accept.ni kazi ngumu lakini ndio utajifunza kuwa ni ngumu kuraise capital na matajiri wengi walipata mitaji yao kwa njia hii.
 
Ni ngumu kwa mtu kutoa pesa yake kama na wewe haujaweka pesa yako thats why nikakupa 20% uraise kwanza..anza kuwapelekea kwanza hao ndugu na jamaa ama marafiki na uone utakapofikia ,,baada ya hapo itakuwa rahisi,hata nami nitakuongezea ukifikia hatua hiyo.



Thankx, this iz good idea bt tatzo status za relative, hali zao halisi hawataweza kwakweli kufikis hiyo m1
Chimbuvu;
 
Andaa mchanganuo wa biashara yako rafiki yangu,,ukishaiandika onyesha na gharama utakavyozitumia na faida unayoexpect na ni baada ya muda gani.nenda kwa wazazi wako ama ndugu zako waonyeshe na waambie mwenye chochote aweze kukuchangia,naexpect kwa ndugu zako na wewe isiwe pungufu ya 1 millioni (20%).
Then baada ya hapo anza kuwatembelea marafiki na watu ambao baadhi ya ndugu zako watakudirect,also usiweke limi hata mwenye 20000 we accept.ni kazi ngumu lakini ndio utajifunza kuwa ni ngumu kuraise capital na matajiri wengi walipata mitaji yao kwa njia hii.

Ingekuwa ni Harusi angechangiwa hata M 5, ila kwa ishu ya Biashara sidhani, na hilo ndo tatizo kubwa kabisa tulilo nalo sisi, Na hii ndo ingekuwa njia Bora kabisa ya kutafuta mitaji ya biashara, Ila kwa wandugu walivyo na wanavyo penda wakitoa na wao wapate, au watoe isikusaidie wewe,

Ni Kama Wakolino au wazungu wanavyo fanya, Wazungu hata siku moja hawawezi kutoa misaada ya kutufanya sisi tushindane nao ndo maana misaada yao ni vitu kama Magari ya wagonjwa mara sijui kujenga nini, na ndugu wako hivyo hivyo
 
Also ukae ukijua for now bank kukupa pesa kama 5mill ilhali akaunti yako haina mzunguko ni ngumu,,kwa kenya kuna private equity funds ambazo zinadhamini start ups ama risk funds ambazo kwa tanzania hazipo ni mpaka atokee mtu mwenye convincing power ya kuongea na matajiri wa bongo waweke pesa ktk risk fund ili kudhamini start up. Mwanzo huwa ni mgumu my frend,its very hard to make ur first million than 10 million from 1million,,thats why unaona matajiri wanakuwa matajiri zaidi kwa sababu ameshapata upenyo tayari ambapo ilimgharimu.
Don't ever give up.
 
Asante kwa wazo zuri, nitafanyia kazi hope hata wewe utani-suppot
Ni ngumu kwa mtu kutoa pesa yake kama na wewe haujaweka pesa yako thats why nikakupa 20% uraise kwanza..anza kuwapelekea kwanza hao ndugu na jamaa ama marafiki na uone utakapofikia ,,baada ya hapo itakuwa rahisi,hata nami nitakuongezea ukifikia hatua hiyo.
 
wanajamvi fungukeni basi?


mkuu hizo idea walizokupa hapo juu zimejitosheleza huwezi kupewa mkopo bila kuwa na kitu kabisa.....
hata ukiweka buznec plan inayolipa ila bila kuianzisha hakuna mtu atakuanzishia mkuu.
 
hebu jaribu Tanzania Investment Bank

Mkuu kote huku ni lazima Uwe na some thing na wale ndo Balaa kabisa, Mkopo unaweza ombwa January ukapewa mwakani mwezi wa Kumi,

Katika biashara ni lazima atleat uanze, hata kama wazo lako linahitaji mtaji mkubwa, jitahidi kuanza something, Ujue hata ukitaka Kujenga Nyumba na ukahitaji masaada, huwezi tu kuwaambia watu kwamba mimi nina Kiwanja, hapo hawataona Juhusi zako kwa sababu swala la Kiwanja ni la lazima katika Kujenga, Ila wakikukuta angalau Umechimba msingi au umenunua hata Misumari kila Moja wataona kweli unajuhudi,

So Mtu asikudanganye kwamba WAZO ndo Kila kitu, na Juhudi haziwezi kupimwa kwenye wazo la Biashara hata siku Moja, Kwa sababu inajulikana Biashara yoyote ile ni lazima ianze na Wazo bila kujalisha umelipata vipi, So wazo si ishu kabisa kwenye taasisi za mikopo ila wanataka kuona umepuga hatua gani na wazo lako hilo? Je umejitahidi mpaka wapi?

So tunao sema mimi nina wazo zuri sana ila nimekosa capital ni wanajidanganya, Ni lazima hilo wazo Ulifanyie some thing, Kama ni wazo la Kufuga Ng'ombe basi anza hata kupandisha Banda lake, hapo itaonekana unajuhudi,

Kama ni kuku anza basi hata na Kifaranga Kimoja, hapo utaonekana kweli unadhamira ya kweli ya kufanya biashara, na si useme tu nina wazo la Kufuga kuku, watu hawatakuamini kamwe

 
Mkuu kote huku ni lazima Uwe na some thing na wale ndo Balaa kabisa, Mkopo unaweza ombwa January ukapewa mwakani mwezi wa Kumi,

Katika biashara ni lazima atleat uanze, hata kama wazo lako linahitaji mtaji mkubwa, jitahidi kuanza something, Ujue hata ukitaka Kujenga Nyumba na ukahitaji masaada, huwezi tu kuwaambia watu kwamba mimi nina Kiwanja, hapo hawataona Juhusi zako kwa sababu swala la Kiwanja ni la lazima katika Kujenga, Ila wakikukuta angalau Umechimba msingi au umenunua hata Misumari kila Moja wataona kweli unajuhudi,

So Mtu asikudanganye kwamba WAZO ndo Kila kitu, na Juhudi haziwezi kupimwa kwenye wazo la Biashara hata siku Moja, Kwa sababu inajulikana Biashara yoyote ile ni lazima ianze na Wazo bila kujalisha umelipata vipi, So wazo si ishu kabisa kwenye taasisi za mikopo ila wanataka kuona umepuga hatua gani na wazo lako hilo? Je umejitahidi mpaka wapi?

So tunao sema mimi nina wazo zuri sana ila nimekosa capital ni wanajidanganya, Ni lazima hilo wazo Ulifanyie some thing, Kama ni wazo la Kufuga Ng'ombe basi anza hata kupandisha Banda lake, hapo itaonekana unajuhudi,

Kama ni kuku anza basi hata na Kifaranga Kimoja, hapo utaonekana kweli unadhamira ya kweli ya kufanya biashara, na si useme tu nina wazo la Kufuga kuku, watu hawatakuamini kamwe



upo sahihi kabisa mkuu ,yaani bila kitu ni bila bila siku zote..........

hapo kwenye kuku bora hata umepatamka , ningemshauri afuge kuku wa kienyeji kibiashara zaidi wanalipa mno na haihitaji mtaji mkubwa ...........hata akianza na laki 1 inatosha
 
Mkuu, hebu mwaga hapa hizo idea, kuna watu humu wana mitaji lakini hawana muda, wasimamizi na hata pa kuwekeza! Wazo linaweza kuwa zuri wakakutafuta na kuingia mkataba mkafanya biashara!
 
Mkuu baadhi ya idea ni
1. photo point huwa zinalipa endapo utachagua eneo zuri.
2. busness ya food materials kama mchele, unga, maharage inalipa kama utatarget market maeneo mazuri, haswa ukaweza kwenda mkoani kununua ukaja kuuza dar
3. pia unaweza ukatarget eneo ukaenda kufungua m pesa, tigo pesa ukawa unauza vocha pia
Mkuu, hebu mwaga hapa hizo idea, kuna watu humu wana mitaji lakini hawana muda, wasimamizi na hata pa kuwekeza! Wazo linaweza kuwa zuri wakakutafuta na kuingia mkataba mkafanya biashara!
 
Mkuu baadhi ya idea ni
1. photo point huwa zinalipa endapo utachagua eneo zuri.
2. busness ya food materials kama mchele, unga, maharage inalipa kama utatarget market maeneo mazuri, haswa ukaweza kwenda mkoani kununua ukaja kuuza dar
3. pia unaweza ukatarget eneo ukaenda kufungua m pesa, tigo pesa ukawa unauza vocha pia

Ndo Idea Ulikuwa unazungumzia? na ndo hizi ulikuwa hutaki watu wazijuie?
 
Back
Top Bottom