habari zenu wana jamii forum kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu naingia diploma chuo kikuu cha tumain campus ya mbeya fulcuty BUSSINES ADMISTRATION na nataka mwaka ujao nifanye mitihani ya bodi ya uhasibu ATEC 1 vipi naruhusiwa na mambo gani ya muhimu nizingatie?!!!!