Msaada wa mawazo wana JF

Msaada wa mawazo wana JF

Zorrander

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
438
Reaction score
233
Habari wana JF, Naombeni msaada wa mawazo katika hili wandugu. Kuna jirani yangu ambaye mara nyingi nikienda kazini huwa nampa lift. Yeye anaishi na jamaa yake ambaye pia tunaheshimiana sana. Huwa tunaongea mambo mengi sana yakiwemo ya mahusiano wakati tukiwa njiani na mara nyingi huwa tunakuwa peke yetu. Jamani huyu mdada ni mzuri and educated. Nakiri nilimtamani sana since day 1 nilipomuona lkn kwa kuwa nina mpezi na namheshimu nilijitahidi kuwa mbali. Tatizo ni tulipoanza kwenda wote kazini nalishindwa kabisa kujizuia nikam-test at least anikatae labda itanisaidia nijiepushe, lkn hakunikataa na ananionyesha kwa mbali kwamba kuna nafasi ya kumpata. Bado huwa anapenda kutumia lift na anapenda tuzungumzie mapenzi mda mwingi. Nifanyeje?? Hata leo tulikuwa pamoja.
 
Mh! hayo makubwa, it seems yeye hajaolewa na ww hujaoa ila mna wapenzi tu. sasa inavyoonyesha nyie wote mmeshapendana zaidi ya hao wapenzi wenu. bac halalisheni tu mahusiano yenu muoane kabisa, na ujiandae kukabiliana na bifu la huyo jamaa yake maana umesema ni jirani yako, ila kama huyo mpenzi wako mmeshafika mbali labda umeshamchumbia. bac ni kiasi cha kubadilisha time ya kwenda kazini either uwahi sana au uchelewe sana ili mradi usimpe lift. pia tumia muda mwingi kuchat na mpenzi wako, jitahidi bac umuoe fasta bwana, wanawake wazuri hawaishi mkuu, utapenda kila siku, kuwa na msimamo.
 
wee ulikuwa hujui kuwa gari ni kisu cha kuchinjia wanawake...mpenzi wake hana gari basi anakuona wewe bora. hivyo wala usicheleweshe mwana wee mkandamize tuu.
 
let me get this straight....
1.unamtamani...
2.ukamtongoza
3.akakubali kiaina

4.sasa unatuuliza sisi 'ufanyaje'?

seriously??????

Kazi nzuri sana kiongozi,anatuchosha tu
 
let me get this straight....
1.unamtamani...
2.ukamtongoza
3.akakubali kiaina

4.sasa unatuuliza sisi 'ufanyaje'?

seriously??????


yeah hebu mwambie ammege au la? ndo ivo wote hatuna IQ moja....
 
let me get this straight....
1.unamtamani...
2.ukamtongoza
3.akakubali kiaina

4.sasa unatuuliza sisi 'ufanyaje'?

seriously??????

Ebwana The Boss hata mimi nimetokea kuchukia aina hii ya uulizaji maswali!
Mtu anajipanga anafanya jambo hadi linafikia anapopataka..
Halaf as if anatafuta 'kibali' anakuja kuuliza afanyeje?
Jamani ngono sio jambo la dharura..kama umeweza kufika ulipofika..wewe malizia tu bana!!!
 
Last edited by a moderator:
Ebwana The Boss hata mimi nimetokea kuchukia aina hii ya uulizaji maswali!
Mtu anajipanga anafanya jambo hadi linafikia anapopataka..
Halaf as if anatafuta 'kibali' anakuja kuuliza afanyeje?
Jamani ngono sio jambo la dharura..kama umeweza kufika ulipofika..wewe malizia tu bana!!!

hawa watu funny aisee..
atakuja kutuomba ushauri 'avae condom au asivae'
 
let me get this straight....
1.unamtamani...
2.ukamtongoza
3.akakubali kiaina

4.sasa unatuuliza sisi 'ufanyaje'?

seriously??????

I thought atakataa moja kwa moja which means hatakuwa anatumia hii lift tena. Tukiwa mbali nahisi naweza kuji-control. Inshu ni wasaa wa kuwa peke yetu kila mara.
 
neno la Mungu linatufundisha kuwa'Ikimbieni zinaa'wewe umeisogelea zero distance! ni sawa na kuwa na mwanamke chumbani guest house, halafu unauliza mapenzi ya Mungu. Ukimsaliti mchumba wako wa sasa kwa sababu ya uzuri wa huyo dada, tabia yake akiwa mke wako, ndo utagundua kuwa hakuwa mzuri.
 
wee ulikuwa hujui kuwa gari ni kisu cha kuchinjia wanawake...mpenzi wake hana gari basi anakuona wewe bora. hivyo wala usicheleweshe mwana wee mkandamize tuu.

Siku akikosa lift au ukauza gari basi ndio unapigwa chini au Akakutana na mtu mwenye x5 wewe na bito lako unapigwa chini.

Achana nae huyo tulizana!!
 
Uzinzi na divai huondoa fahamu za wanadamu.kaa mbali naye na acha kumpa lift
 
let me get this straight....
1.unamtamani...
2.ukamtongoza
3.akakubali kiaina

4.sasa unatuuliza sisi 'ufanyaje'?

seriously??????

Umemtamani siyo kwamba unampenda. Acha ujinga. Kaa na wako na hiyo lift acha kumpa haina maana. Nyie ndiyo waharibifu wa maisha ya wenzenu.
 
mmmh, hiyo kali. Sasa kama wana jamvi walivyosema nyie wote hamjafunga pingu, mna wapenzi tu! Jamani hebuhebu .... ebwanae .. cha msingi msishikwe! Ila mkinogewa sasa ..kazi kwenu... balaaa hiyoo
C:\Users\UNHCRU~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.jpg
 
Back
Top Bottom