Salamu kwenu wana jamvi
Kwa muda mrefu nimekuwa nikihangaika kutafuta pesa ya kutosha ili niweze kufungua biashara ambayo faida yake itakuwa inaonekana ili na mimi niweze kuongea kibosile katika mkoa huu wa Makonda. Katika kuzichanga changa pesa leo hii nimeweze kutimiza kiasi cha milioni 30 naombeni msaada wa mawazo yenu wana jamvi ni biashara gani naweza kufungua kwa mtaji wa kiasi hicho?