Msaada wa mawazo ya kuanzisha biashara

Msaada wa mawazo ya kuanzisha biashara

zombie_og

Member
Joined
Nov 7, 2020
Posts
14
Reaction score
19
Kwa hapa Dar es salaam kuna mzunguko mkubwa sana wa watu kwa 800,000 maeneo ya Mbagala naweza fanya biashara gani ninaweza kuingiza walau 20k au 15k faida kwa siku?

Ushauri wenu please guyz
 
Kwa hapa Dar es salaam kuna mzunguko mkubwa sana wa watu kwa 800,000 maeneo ya Mbagala naweza fanya biashara gani ninaweza kuingiza walau 20k au 15k faida kwa siku?

Ushauri wenu please guyz
Tafuta vijana kama watatu hivi wawe wanatembeza maji ya kunywa kwenye stendi za daladala,wewe kazi yako inakuwa ni kununua cartons za maji na kuziweka kwenye friji kisha unawapatia na kugawana nao faida hiyo ndio biashara rahisi kwa kule maana abiria akipata kiu lazima atakunywa majiatake asitake.
Kwa biashara zingine kule ni pagumu sana kutokana na mzunguko mdogo wa pesa.
 
Tafuta vijana kama watatu hivi wawe wanatembeza maji ya kunywa kwenye stendi za daladala,wewe kazi yako inakuwa ni kununua cartons za maji na kuziweka kwenye friji kisha unawapatia na kugawana nao faida hiyo ndio biashara rahisi kwa kule maana abiria akipata kiu lazima atakunywa majiatake asitake.
Kwa biashara zingine kule ni pagumu sana kutokana na mzunguko mdogo wa pesa.
Tatizo sina friji kaka


Idea nyingine???
 
Back
Top Bottom