anataka hapa dar
tatizo la walio wengi wanapenda lkupeleka misaada vituo vyenye majina na vinavyopata misaada mikubwa kila kukicha kama dogodogo, msimbazi, mama theresa na kusahau vingine ambavyo vina hali mbaya...nashauri tu, aende vile ambavyo havina msaada sana hivi vya theresa, msimbazi awaachie wanasiasa na zawad zao za pasaka
Lengo hasa ni vile vituo ambavyo havina msaada kabisa, hivyo ambavyo tayari vina hali nzuri ni vema vikawa out of list. asanteni kwa mawazo yenu lakini wengi pia mmention tu sehemu bila kutoa full address au maelekezo ya kufika hapo. Rose ntakupm