Tetesi: Msaada wa mawazo

peterK2

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2017
Posts
293
Reaction score
91
Mambo jf,nime chaguliwa bachelor degree in biology chuo cha udom naomba kujua niki soma hiyo kozi baadae nta kuwa nani? au nta weza fanya kazi gani kulingana na hii kozi. Mawazo yenu muhim sana
 
Dogoo hiyo coz ulichagua au ulichaguliwa na kama ulichagua kwanini ulichagua kusoma kitu usichokijua.....na VP unamalengo na elimu yako kama ndio ndoto zako ulitaka kuwa nani au kuwa na elimu kuhusu nin hadi ukachagua hiyo coz...kama majibu ni tofauti na hapo basi nakushauri achana na mambo ya kwenda chuo nenda pale Lumumba mwambie chakubanga akupe kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini ulichagua kitu ambacho huna ufahamu nacho?
Na kwanini usingeomba msaada wa mawazo kabla ya kuchagua?

Pole,ngoja wajuvi waje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…